Jan 23, 2014

Wenger: Kumuuza Juan Mata Manchester United, ni mbinu chafu za Morihno kuizuia Arsenal

Posted at  1/23/2014  |  in  Michezo


Kocha wa Arsenal Arsene Wenger haamini kinachotokea kwa Chelsea kumuuzi Man U Juan Mata.

Wenger haamini kama Morihno anaweza kuwauzia mahasimu wake kiungo Juan Mata.

Inamlazimu mfaransa huyo kuamini kwamba tukio hilo litakua ni mwendelezo wa Kocha wa Chelsea Jose Morihno kutumia mbinu chafu za kuizuia Arsenal.

Kimsingi Chelsea ameshacheza na Man U mechi zote, ila Man U bado hajacheza na Arsenal mechi moja.

Kama habari za Mata kutua Man zitakuwa za kweli basi kuna kila uwezekano wa Mata kucheza dhidi ya Arsenal akiwa na jezi ya United.

Hivyo kwa mujibu wa Wenger, huenda Morihno anapenda Man U wamsaidie kazi ya kuisimamisha Arsenal.

Share this post

About Naveed Iqbal

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Follow him on Google+.

0 comments:

About-Privacy Policy-Contact us
Copyright © 2013 mchambuzi@habari online. Blogger Template by Bloggertheme9
Proudly Powered by Blogger.
back to top