Jan 23, 2014

Kituko cha mwaka: Shabiki wa Manchester United apiga 999 na kuomba kuongea na Furguson

Posted at  1/23/2014  |  in  Michezo

Kocha wa zamani wa Manchester United, sir Alex Furguson


Kituko kimetokea jana usiku katika jiji la manchester baada ya shabiki mmoja wa mashetani hao aliyekuwa amelewa kupiga simu polisi (999) na kuomba kuongea na Alex Furguson

Tukio hilo lilitoke baada ya Manchester kutolewa nje ya mashindano ya Capital One Cup.

Hakuambulia kuongea na Furguson badala yake alielezwa apige simu katika klabu ya Manchester

Share this post

About Naveed Iqbal

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Follow him on Google+.

0 comments:

About-Privacy Policy-Contact us
Copyright © 2013 mchambuzi@habari online. Blogger Template by Bloggertheme9
Proudly Powered by Blogger.
back to top