Jan 16, 2014

Manchester United: Anderson atimkia Fiorentina

Posted at  1/16/2014  |  in  Michezo

Anderson, kiungo wa Manchester United:
:
Kiungo wa Manchester United,Anderson akwea pipa kuelekea Italia kufanya vipimo na timu ya Fiorentina. Anderson amekosa imani ya kocha David Moyes na amecheza mechi nne tu katika msimu huu wa Ligi kuu ya Uingereza. 

Timu ya Manchester United imemruhsu kiungo huyo waliyemng'oa toka Porto kwa ada ya uhamisho paundi milioni 20 mwaka 2007, akafanye vipimo na miamba hiyo ya Italia ili ajiunge nao kwenye dirisha dogo la usajili kwa mkopo. 

Habari kwa hisani ya Gazeti la Daily mirror.

Share this post

About Naveed Iqbal

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Follow him on Google+.

1 comment:

  1. Bora aende kwingineko akatafute namba, maana sasa anaweza akaota kutu mwisho wa siku kiwango kikaisha moja kwa moja.

    ReplyDelete

About-Privacy Policy-Contact us
Copyright © 2013 mchambuzi@habari online. Blogger Template by Bloggertheme9
Proudly Powered by Blogger.
back to top