Jan 13, 2014

Angalia picha za matukio yalioyotokea katika hafla ya utoaji tuzo ya Ballon d'Or 2013

Posted at  1/13/2014  |  in  Michezo

cristiano Ronaldo mshindi ballon d'Or 2013
Kombe la Ballon d'Or

Katika hafla ya utoaji tuzo ya Ballon d'Or, nyota wa Real Madrid na Ureno Cristiano Ronaldo ameibuka na kuwa mchezaji bora wa mwaka akiwaacha nyuma hasimu wake mkubwa Lionel Messi na Mfaransa Frank Ribery. 
Ronaldo amevunja utawala aliouweka Messi baada ya kuchukua mara nne mfululizo, na kuonyesha furaha yake; nyota huyo wa Dunia  alitoa machozi kwa uchungu. 

















Share this post

About Naveed Iqbal

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Follow him on Google+.

0 comments:

About-Privacy Policy-Contact us
Copyright © 2013 mchambuzi@habari online. Blogger Template by Bloggertheme9
Proudly Powered by Blogger.
back to top