Jan 23, 2014

Javier Hernendez kuondoka Manchester United

Posted at  1/23/2014  |  in  Michezo

Mshambuliaji wa Manchester United Chicharito

Mshambuliaji wa Manchester United, Javier Hernrndez (Chicharito); ameomba kuondoka Manchester Unietd.

Siku moja baada ya Man U kuondolewa kwenye mashindano ya Capital One cup, Chicharito aomba kuondoka aende kwingine ili apate nafasi ya kucheza.

Hernendez ni chaguo la ni chaguo la nne la David moyes baada ya Van Persie, Wyne Rooney na Danny Welbeck.

Share this post

About Naveed Iqbal

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Follow him on Google+.

0 comments:

About-Privacy Policy-Contact us
Copyright © 2013 mchambuzi@habari online. Blogger Template by Bloggertheme9
Proudly Powered by Blogger.
back to top