Jan 4, 2014

Arsenal kumsajili Mario Mandzukic

Posted at  1/04/2014  |  in  Michezo

Usajili wa Arsenal
Mario Mandzukic, mshambuliaji wa Bayern Munich

Arsene Wenger anaiyemelea saini ya mfumania nyavu wa mabingwa wa ligi ya mabingwa Ulaya Bayern Munich's Mario Mandzukic.

Kwa mujibu wa gazeti la Dail mail,mshambuliaji huyo anafuatiliwa sana na washika bunduki wa London. Hali inaonekana itakuwa mbaya kwa Mandzukic baada ya Guardiola kumnyatia Robert Lewandowski. Hivyo inaonekana Mandzukic atajitumbukiza mwenyewe baharini kabla hajatumbukizwa kwani atakuwa chaguo la tatu kama Lewandowski atasajiliwa.


Share this post

About Naveed Iqbal

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Follow him on Google+.

0 comments:

About-Privacy Policy-Contact us
Copyright © 2013 mchambuzi@habari online. Blogger Template by Bloggertheme9
Proudly Powered by Blogger.
back to top