Jan 7, 2014

Sunderland yaitoa Manchester United Capital One Cup

Posted at  1/07/2014  |  in  Michezo

capital one cup
Mkongwe Giggs wa manchester United akipachika bao golini kwake

Sunderland waliokuwa nyumbani imeendeleza ubabe unaoanza kuonyeshwa na timu mbalimbal kwa mashetani wekundu.
Katika uwanja wao wa nyumbani, Sunderland walikuwa wa kwanza kupachika bao; Jonny Evans alisababisha faulo iliyopigwa na Sebastian Larsson. Katika purukushani za kuokoa mchomo huo mkongwe Rayan Giggs akatumbukiza mpira nyavuni kwao.
Dakika sita baada ya kipindi cha pili kuanza, Mlinzi wa kati Nemanja Vidic aliweza kusawazisha kwa mpira mzuri wa kichwa.
Mwamuzi Andre Marriner alitoa penalt iliyosababishwa na Cleverley. Borini hakufanya kosa baada ya kupewa fursa ya kuihukumu United na kumaliza mchezo 2 - 1.
Sunderland vs Manchester
Borin akipiga mkwaju wa penaiti uliowauwa United

Share this post

About Naveed Iqbal

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Follow him on Google+.

0 comments:

About-Privacy Policy-Contact us
Copyright © 2013 mchambuzi@habari online. Blogger Template by Bloggertheme9
Proudly Powered by Blogger.
back to top