Jan 13, 2014

Jose Mourinho:Nitaondoka Chelsea kama hawatonihitaji.

Posted at  1/13/2014  |  in  Michezo

Kocha wa Chelsea
Kocha wa Chelsea Jose Morihno:

Kocha mreno mwenye machachari mengi Jose Mourinho amekarirwa na Gazeti la Daily star akisema kwamba hana mpango wa kuondoka Stamford Bridge. Mourinho amesema yupo Chersea kwa muda mrefu na inawezekana akatundika daruga akiwa katika klabu hiyo yenye maskani yake katika jiji la London.
"Sifikirii nitakwenda wapi baada ya hapa sababu sina mpango wa kuhama" alisema Mourihno. Alirudi Stamford Bridge msimu huu baada ya kuwa nje kwa miaka sita na amekua na matokeo mazuri tangu arejee.
"Nitaondoka hapa pale tu ambapo Chelsea itaamua kua muda umefika mimi kuondoka".
"Nilipofanya maamuzi ya kurudi Chersea sikufahamu kama wangenikaribisha lakini walifanya hivyo". "Nyumba yetu iliyoko London tuliitunzi tukijua siku moja tungerudi London japo sikusema"

Share this post

About Naveed Iqbal

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Follow him on Google+.

0 comments:

About-Privacy Policy-Contact us
Copyright © 2013 mchambuzi@habari online. Blogger Template by Bloggertheme9
Proudly Powered by Blogger.
back to top