• HABARI MPYA

    Obama na Putin wajadiliana kuhusu Ukraine

  • HABARI MPYA

    Jack Wilshere nje wiki sita

  • MAKALA

    Cancer in relation to Herat Attack

  • MAKALA

    Diabetes Remedy

  • Jan 31, 2014

    Picha ya Kim kallstrom akiwa amevalia jezi ya Arsenal

    Klabu ya Arsenal imenyakua sahihi ya kiungo mshambuliaji wa timu ya Spartak Moscow.

    Mkataba huo utamuona Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 31 akiitumikia Arsenal hadi mwisho wa msimu huu.

    Arsenal yamsajili Kim Kallstrom

    Posted at  1/31/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Picha ya Kim kallstrom akiwa amevalia jezi ya Arsenal

    Klabu ya Arsenal imenyakua sahihi ya kiungo mshambuliaji wa timu ya Spartak Moscow.

    Mkataba huo utamuona Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 31 akiitumikia Arsenal hadi mwisho wa msimu huu.

    0 comments:

    Jan 30, 2014


    Serikali ya Tanzania kupitia ubalozi wake nchini Rwanda imekanusha taarifa zilizocahpishwa na gazeti moja la serikali nchini humo likimtuhumu rais Jakaya Kikwete kuwa na mazungumzo ya siri na viongozi wa kundi la waasi wa FDLR.

    kwenye taarifa iliotolewa na Ikulu ya rais jijini Dar es Salaam ikinukuu taarifa rasmi iliotolewa na kaimu balozi wa Tanzania nchini Rwanda, Balozi Francis Mwaipaja, imekanusha vikali habari iliochapishwa na gazeti la serikali la news of Rwanda likidai kuwa rais wa Tanzania Jakaya Kikwete amekuwa na mazungumzo ya siri na viongozi wa kundi la FDLR la Rwanda.

    Gazeti hilo hivi karibuni liliandika habari zinazodaikuwa kwa nayakati tofauti rais Kikwete amekuwa na mazungumzo jijini Dar Es Salaam na waanzilishi wa chama cha National Congress NRC, Dr Theogene Rudasingwa kamanda wa kundi la Democratic Forces of Liberation of Rwanda FDLR, luteni Kanali Wilson Irategeka, Kanali Hamadi pamoja na aliyekuwa waziri mkuu wa Rwanda Faustin Twagiramungu.

    Kufuatia habari hiyo, Serikali ya Tanzania imemuandikia barua mhariri wa gazeti la News of Rwanda kumtaka aombe radhi pamoja na kuacha kuandika habari za uvumi ambazo kwa sehemu kubwa zimemuhusu rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr, Jakaya Mrisho Kikwete.

    Taarifa hiyo ambayo nakala yake rfikiswahili inayo, imekanusha kuwa mkutano kati ya rais Kikwete na viongozi hao ulifanyika tarehe 23 ya mwezi huu na kwamba tarehe hiyo rais Kikwete alikuwa safarini mjini Davos, Uswis kuhudhuria mkutano wa kiuchumi.

    Wizara ya mambo ya ndani ya Tanzania pia imekanusha kutoa pasi za kusafiria wala kuishi nchini humo kwa viongozi waliotajwa kuwa na mazungumzo na rais Kikwete.

    Tangazo la Serikali ya Tanzania kukanusha taarifa hizi linakuja huku kukiwa imepita miezi kadhaa toka kuwepo kwa taarifa kuwa nchi hizo mbili zimekuwa kwenye mvutano kwa madai kuwa Tanzania inawasaidia waasi wanaompinga rais Paul Kagame.

    Tanzania: rais Kikwete hakuwa na mazungumzo na viongozi wa waasi wa Rwanda

    Posted at  1/30/2014  |  in  Habari  |  Read More»


    Serikali ya Tanzania kupitia ubalozi wake nchini Rwanda imekanusha taarifa zilizocahpishwa na gazeti moja la serikali nchini humo likimtuhumu rais Jakaya Kikwete kuwa na mazungumzo ya siri na viongozi wa kundi la waasi wa FDLR.

    kwenye taarifa iliotolewa na Ikulu ya rais jijini Dar es Salaam ikinukuu taarifa rasmi iliotolewa na kaimu balozi wa Tanzania nchini Rwanda, Balozi Francis Mwaipaja, imekanusha vikali habari iliochapishwa na gazeti la serikali la news of Rwanda likidai kuwa rais wa Tanzania Jakaya Kikwete amekuwa na mazungumzo ya siri na viongozi wa kundi la FDLR la Rwanda.

    Gazeti hilo hivi karibuni liliandika habari zinazodaikuwa kwa nayakati tofauti rais Kikwete amekuwa na mazungumzo jijini Dar Es Salaam na waanzilishi wa chama cha National Congress NRC, Dr Theogene Rudasingwa kamanda wa kundi la Democratic Forces of Liberation of Rwanda FDLR, luteni Kanali Wilson Irategeka, Kanali Hamadi pamoja na aliyekuwa waziri mkuu wa Rwanda Faustin Twagiramungu.

    Kufuatia habari hiyo, Serikali ya Tanzania imemuandikia barua mhariri wa gazeti la News of Rwanda kumtaka aombe radhi pamoja na kuacha kuandika habari za uvumi ambazo kwa sehemu kubwa zimemuhusu rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr, Jakaya Mrisho Kikwete.

    Taarifa hiyo ambayo nakala yake rfikiswahili inayo, imekanusha kuwa mkutano kati ya rais Kikwete na viongozi hao ulifanyika tarehe 23 ya mwezi huu na kwamba tarehe hiyo rais Kikwete alikuwa safarini mjini Davos, Uswis kuhudhuria mkutano wa kiuchumi.

    Wizara ya mambo ya ndani ya Tanzania pia imekanusha kutoa pasi za kusafiria wala kuishi nchini humo kwa viongozi waliotajwa kuwa na mazungumzo na rais Kikwete.

    Tangazo la Serikali ya Tanzania kukanusha taarifa hizi linakuja huku kukiwa imepita miezi kadhaa toka kuwepo kwa taarifa kuwa nchi hizo mbili zimekuwa kwenye mvutano kwa madai kuwa Tanzania inawasaidia waasi wanaompinga rais Paul Kagame.

    0 comments:


    Mwanamziki mashuhuri wa muziki wa 'pop' kutoka Canada Justin Bieber amefunguliwa mashtaka ya kumpiga dereva wa gari la kifahari la kukodisha mwezi Disemba mwaka uliopita.
    Bwana Bieber aliye na umri wa miaka 19 alikaribishwa katika katika kituo cha polisi cha Toronto na kikosi kikubwa cha wapiga picha za televisheni pamoja na unyende wa mashabiki wake chipukizi.
    Amefunguliwa mashtaka chini ya juma moja baada ya kukamatwa mjini Florida marekani kwa shutuma za kuendesha gari akiwa mlevi na mashtaka mengine.
    Mwanasheria wa Marekani anayemwakilisha mwimbaji huyo amesema mteja wake hana makosa.
    Kwa mujibu wa polisi wa Toronto, yapata saa 02:50 saa za Canada tarehe 30 Disemba, gari la kifahari liliwasili kumchukuwa bwana Bieber na wenzake watano katika kilabu moja ya starehe ili kuwarejesha katika chumba chao cha hoteli.
    Na wakati walipokuwa njiani, dereva huyo pamoja na mmoja wa abiria wake, aliyetajwa kama bwana Bieber, wanasemekana kuanza kufokeana maneno makali.
    Abiria huyo "alimgonga dereva wa limousine hiyo kwenye kisogo mara kadhaa", polisi wamesema.
    Dereva huyo anasemekana kusimamisha gari lake na kisha kutoka nje na kuwaita polisi. Mshukiwa 'alichana mbuga' kabla ya polisi kuwasili.
    Bwana Bieber alijisalimisha kwa polisi Jumatano. Anatarajiwa kufikishwa kizimbani tarehe kumi mwezi Machi.
    Howard Weitzman, wakili wa Bwana Bieber mjini California, amesema msanii huyo hana hatia na kwamba anatarajia kesi hiyo itachukuliwa kama kosa dogo tu.
    Kadhalika siku ya Jumatano, ombi la kutaka bwana Bieber atimuliwe nchini marekani lilipata sahihi laki moja.
    Ombi hilo liliwasilishwa kwenye mtandao mmoja wa Ikulu ya White House na raia mmoja wa Marekani.
    Rais wa Marekani hana madaraka ya kuamuru mtu kuondolewa kwa lazima nchini Marekani, na haijabainika iwapo Ikulu ya White House itajibu ombi hilo.
    Bwana Justin Beiber amejikuta matatani mara kadhaa na maafisa wa polisi katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita.
    Mapema asubuhi Alhamisi iliyopita, bwana Bieber alikamatwa kwenye Ufukwe wa Miami baada ya afisa mmoja wa polisi kumfumania akiendesha kwa kasi gari la kukodi aina ya Lamborghini rangi ya njano kwenye barabara ya umma.
    Akimshuku kuwa alikuwa mlevi afisa huyo alimtia mbaroni.
    Kadhalika alifunguliwa mashtaka ya kupinga kukamatwa na pia kuendesha gari akiwa na leseni iliyopita muda wa matumizi.

    Justin Bieber afunguliwa mashtaka

    Posted at  1/30/2014  |  in  Burudani  |  Read More»


    Mwanamziki mashuhuri wa muziki wa 'pop' kutoka Canada Justin Bieber amefunguliwa mashtaka ya kumpiga dereva wa gari la kifahari la kukodisha mwezi Disemba mwaka uliopita.
    Bwana Bieber aliye na umri wa miaka 19 alikaribishwa katika katika kituo cha polisi cha Toronto na kikosi kikubwa cha wapiga picha za televisheni pamoja na unyende wa mashabiki wake chipukizi.
    Amefunguliwa mashtaka chini ya juma moja baada ya kukamatwa mjini Florida marekani kwa shutuma za kuendesha gari akiwa mlevi na mashtaka mengine.
    Mwanasheria wa Marekani anayemwakilisha mwimbaji huyo amesema mteja wake hana makosa.
    Kwa mujibu wa polisi wa Toronto, yapata saa 02:50 saa za Canada tarehe 30 Disemba, gari la kifahari liliwasili kumchukuwa bwana Bieber na wenzake watano katika kilabu moja ya starehe ili kuwarejesha katika chumba chao cha hoteli.
    Na wakati walipokuwa njiani, dereva huyo pamoja na mmoja wa abiria wake, aliyetajwa kama bwana Bieber, wanasemekana kuanza kufokeana maneno makali.
    Abiria huyo "alimgonga dereva wa limousine hiyo kwenye kisogo mara kadhaa", polisi wamesema.
    Dereva huyo anasemekana kusimamisha gari lake na kisha kutoka nje na kuwaita polisi. Mshukiwa 'alichana mbuga' kabla ya polisi kuwasili.
    Bwana Bieber alijisalimisha kwa polisi Jumatano. Anatarajiwa kufikishwa kizimbani tarehe kumi mwezi Machi.
    Howard Weitzman, wakili wa Bwana Bieber mjini California, amesema msanii huyo hana hatia na kwamba anatarajia kesi hiyo itachukuliwa kama kosa dogo tu.
    Kadhalika siku ya Jumatano, ombi la kutaka bwana Bieber atimuliwe nchini marekani lilipata sahihi laki moja.
    Ombi hilo liliwasilishwa kwenye mtandao mmoja wa Ikulu ya White House na raia mmoja wa Marekani.
    Rais wa Marekani hana madaraka ya kuamuru mtu kuondolewa kwa lazima nchini Marekani, na haijabainika iwapo Ikulu ya White House itajibu ombi hilo.
    Bwana Justin Beiber amejikuta matatani mara kadhaa na maafisa wa polisi katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita.
    Mapema asubuhi Alhamisi iliyopita, bwana Bieber alikamatwa kwenye Ufukwe wa Miami baada ya afisa mmoja wa polisi kumfumania akiendesha kwa kasi gari la kukodi aina ya Lamborghini rangi ya njano kwenye barabara ya umma.
    Akimshuku kuwa alikuwa mlevi afisa huyo alimtia mbaroni.
    Kadhalika alifunguliwa mashtaka ya kupinga kukamatwa na pia kuendesha gari akiwa na leseni iliyopita muda wa matumizi.

    0 comments:



    Juan Mata has wasted no time in settling in at Manchester United after the Spanish star was spotted house hunting on Wednesday afternoon.

    Just 24 hours after making his debut in the 2-0 win against Cardiff City, United's club-record £37.1million signing spent his day off pounding the streets of Cheshire with his girlfriend looking for a new pad.

    The 25-year-old is interested in finding a home in the plush, upmarket area, which is a magnet for Manchester's footballers.

    United team-mates Wayne Rooney, Nemanja Vidic, Nani, Patrice Evra and Ashley Young all live locally, while City rivals David Silva and Joleon Lescott are also residents.

    Meanwhile, Mata is delighted at how quickly he has settled into life at Manchester United.

    Even though he had just two training sessions under his belt, he lasted all but the final seven minutes of Tuesday's 2-0 win over Cardiff.

    Mata could even claim a partial assist for Robin van Persie's opener given it was the Spain midfielder who delivered the impressive 50-yard cross-field pass to Patrice Evra that launched the sixth-minute move.

    And with United both winning and, at times, looking more convincing than they have done since the turn of the year, Mata has every reason to be satisfied.

    'I have felt comfortable at this club from the first minute," said the 25-year-old.

    'Time has gone so quickly but the welcome has been amazing. The lads are really good and there is a great atmosphere.'

    And the good news for United is that Mata is acutely aware there is still much more to come from him.

    'To be honest I didn't train that much last week because of the transfer," he said. "I know I can improve.'

    And his efforts will only be enhanced by the return to fitness of Robin van Persie, who had missed 11 games with a thigh problem, and Wayne Rooney, who played only once in 2014 before succumbing to a groin injury.

    'Rooney and Robin are two of the best strikers in the world,' said Mata.

    'It will be amazing to play alongside them.
    'I just want to help them, and help the team win matches. We need to sustain this feeling.

    Mata: the next Manchester United win will be crutial

    Posted at  1/30/2014  |  in  Michezo  |  Read More»



    Juan Mata has wasted no time in settling in at Manchester United after the Spanish star was spotted house hunting on Wednesday afternoon.

    Just 24 hours after making his debut in the 2-0 win against Cardiff City, United's club-record £37.1million signing spent his day off pounding the streets of Cheshire with his girlfriend looking for a new pad.

    The 25-year-old is interested in finding a home in the plush, upmarket area, which is a magnet for Manchester's footballers.

    United team-mates Wayne Rooney, Nemanja Vidic, Nani, Patrice Evra and Ashley Young all live locally, while City rivals David Silva and Joleon Lescott are also residents.

    Meanwhile, Mata is delighted at how quickly he has settled into life at Manchester United.

    Even though he had just two training sessions under his belt, he lasted all but the final seven minutes of Tuesday's 2-0 win over Cardiff.

    Mata could even claim a partial assist for Robin van Persie's opener given it was the Spain midfielder who delivered the impressive 50-yard cross-field pass to Patrice Evra that launched the sixth-minute move.

    And with United both winning and, at times, looking more convincing than they have done since the turn of the year, Mata has every reason to be satisfied.

    'I have felt comfortable at this club from the first minute," said the 25-year-old.

    'Time has gone so quickly but the welcome has been amazing. The lads are really good and there is a great atmosphere.'

    And the good news for United is that Mata is acutely aware there is still much more to come from him.

    'To be honest I didn't train that much last week because of the transfer," he said. "I know I can improve.'

    And his efforts will only be enhanced by the return to fitness of Robin van Persie, who had missed 11 games with a thigh problem, and Wayne Rooney, who played only once in 2014 before succumbing to a groin injury.

    'Rooney and Robin are two of the best strikers in the world,' said Mata.

    'It will be amazing to play alongside them.
    'I just want to help them, and help the team win matches. We need to sustain this feeling.

    0 comments:

    Jan 29, 2014


    The France midfielder, 28, has signed a three-and-a-half-year contract with the Ligue 1 giants.
    "I am very, very happy to return to France," said Cabaye, who made 79 Premier League appearances for Newcastle, scoring 17 goals.
    "The offer from Paris St Germain was hard to refuse. I want to win titles and PSG offer me that, so it is an ideal club. I did not hesitate.
    "I am proud to have a chance to be a part of this ambitious project, to have the opportunity to win titles and play in the Champions League.
    "The priority for me was the opportunity to win titles, quite simply. That was the biggest thing."
    Cabaye expressed his gratitude to Newcastle for allowing him to leave, adding: "I had two and a half extraordinary years there and discovered the Premier League with them.
    "The league is so difficult that we struggled to get into the Champions League.
    "Last summer it didn't happen (a move to a Champions League club in the form of Arsenal). It was difficult to accept at first but, in the end, it was a good decision.
    "But the opportunity came up this time and they respected what my heart wanted. I thank them for that."
    A Newcastle statement read: "Newcastle United have benefited significantly from Yohan's talents since his arrival from Lille in the summer of 2011, and the player has likewise benefited, developing hugely during his time on Tyneside.
    "The club wanted to keep him but the lure of Champions League football and the prospect of being involved in the sporting project at PSG was an opportunity that Yohan made very clear to us he wanted to take.

    Transfer news: PSG confirm signing of Newcastle's Yohan Cabaye for around £20m

    Posted at  1/29/2014  |  in  Michezo  |  Read More»


    The France midfielder, 28, has signed a three-and-a-half-year contract with the Ligue 1 giants.
    "I am very, very happy to return to France," said Cabaye, who made 79 Premier League appearances for Newcastle, scoring 17 goals.
    "The offer from Paris St Germain was hard to refuse. I want to win titles and PSG offer me that, so it is an ideal club. I did not hesitate.
    "I am proud to have a chance to be a part of this ambitious project, to have the opportunity to win titles and play in the Champions League.
    "The priority for me was the opportunity to win titles, quite simply. That was the biggest thing."
    Cabaye expressed his gratitude to Newcastle for allowing him to leave, adding: "I had two and a half extraordinary years there and discovered the Premier League with them.
    "The league is so difficult that we struggled to get into the Champions League.
    "Last summer it didn't happen (a move to a Champions League club in the form of Arsenal). It was difficult to accept at first but, in the end, it was a good decision.
    "But the opportunity came up this time and they respected what my heart wanted. I thank them for that."
    A Newcastle statement read: "Newcastle United have benefited significantly from Yohan's talents since his arrival from Lille in the summer of 2011, and the player has likewise benefited, developing hugely during his time on Tyneside.
    "The club wanted to keep him but the lure of Champions League football and the prospect of being involved in the sporting project at PSG was an opportunity that Yohan made very clear to us he wanted to take.

    0 comments:

    Jan 26, 2014

    • Cardiff vs Wigan
    • Sheffield Wednesday vs Charlton
    • Sunderland vs Southampton
    • Everton vs Swansea
    • Man City vs Chelsea
    • Sheffield United/Fulham vs Nottingham Forest/Preston
    • Arsenal vs Liverpool
    • Brighton vs Hull

    Timu zinazokutana raundi ya 5 FA : tazama hapa!

    Posted at  1/26/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    • Cardiff vs Wigan
    • Sheffield Wednesday vs Charlton
    • Sunderland vs Southampton
    • Everton vs Swansea
    • Man City vs Chelsea
    • Sheffield United/Fulham vs Nottingham Forest/Preston
    • Arsenal vs Liverpool
    • Brighton vs Hull

    0 comments:

    Mlipuko DRC

    Watu 20 wanahofiwa kufariki kutokana na mlipuko katika ghala la silaha katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.
    Vikosi vya kulinda amani vya umoja wa mataifa nchini humo ,vimesema kuwa nyumba nyingi zilaharibiwa wakati wa mlipuko huo katika kambi moja ya kijeshi karibu na soko kuu la Mbuji-mayi.
    Mlipuko huo uliotokea katika mji wa Mbuji-Mayi inasemekana ulisababishwa na radi
    Kwa mujibu wa taarifa za kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa Monusco,zaidi ya watu 50 pia walijeruhiwa huku nyumba kadhaa zikiharibiwa.
    Lengo la Monusco nchini humo ni kupokonya makundi yanayopigana silaha. DRC inajaribu kutokamana na vita vilivyosababisha mamilioni ya vifo kati ya mwaka 1998 na 2003.
    'Nimewaamrisha maafisa wetu walio mjini Mbuji-Mayi kushirikiana na wenyeji ili kusaidiana kukabiliana na hali,'' alisema Martin Koble mkuu wa kikosi hicho cha Monusco.
    Mbuji-Mayi ni mji wa tatu kwa ukubwa DRC, na ndio kitovu cha uchimbaji wa madini ya Almasi.
    Habari kwa hisani ya BBC SWAHILI

    DRC: Ghala la silaha laliipuka na kuua 20

    Posted at  1/26/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    Mlipuko DRC

    Watu 20 wanahofiwa kufariki kutokana na mlipuko katika ghala la silaha katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.
    Vikosi vya kulinda amani vya umoja wa mataifa nchini humo ,vimesema kuwa nyumba nyingi zilaharibiwa wakati wa mlipuko huo katika kambi moja ya kijeshi karibu na soko kuu la Mbuji-mayi.
    Mlipuko huo uliotokea katika mji wa Mbuji-Mayi inasemekana ulisababishwa na radi
    Kwa mujibu wa taarifa za kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa Monusco,zaidi ya watu 50 pia walijeruhiwa huku nyumba kadhaa zikiharibiwa.
    Lengo la Monusco nchini humo ni kupokonya makundi yanayopigana silaha. DRC inajaribu kutokamana na vita vilivyosababisha mamilioni ya vifo kati ya mwaka 1998 na 2003.
    'Nimewaamrisha maafisa wetu walio mjini Mbuji-Mayi kushirikiana na wenyeji ili kusaidiana kukabiliana na hali,'' alisema Martin Koble mkuu wa kikosi hicho cha Monusco.
    Mbuji-Mayi ni mji wa tatu kwa ukubwa DRC, na ndio kitovu cha uchimbaji wa madini ya Almasi.
    Habari kwa hisani ya BBC SWAHILI

    0 comments:

    Bayern Munich hit maker Mario Mandzukic

    According to the METRO,Arsenal are set to snatch the Bayern 
    Munich hit maker Mario Mandzukic.
    The Gunners have been linked with a move for Croatian hitman Mandzukic, with Arsene Wenger short on options up front.
    But the deal appeared dead a fortnight ago when Bayern stressed that the 27-year-old would not be allowed to leave.
    However, in a dramatic U-turn, honorary president Franz Beckenbauer says Mandzukic could now depart before the close of the transfer window.
    ‘Mandzukic could pack his bags,’ said Beckenbauer.
    ‘I don’t think Mandzukic suits Pep Guardiola’s style.
    ‘Also – even without him, Guardiola could still count on Thomas Muller and Mario Gotze in attack.’
    Arsenal would only be interested in signing Mandzukic on-loan, and having followed him since his days at Dinamo Zagreb, Wenger knows all about his abilities.
    Chelsea and Tottenham have also been rumoured to be keen on the striker in recent months.

    Arsenal to bid the Bayern Munich' out favoured Mario Mandzukic

    Posted at  1/26/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Bayern Munich hit maker Mario Mandzukic

    According to the METRO,Arsenal are set to snatch the Bayern 
    Munich hit maker Mario Mandzukic.
    The Gunners have been linked with a move for Croatian hitman Mandzukic, with Arsene Wenger short on options up front.
    But the deal appeared dead a fortnight ago when Bayern stressed that the 27-year-old would not be allowed to leave.
    However, in a dramatic U-turn, honorary president Franz Beckenbauer says Mandzukic could now depart before the close of the transfer window.
    ‘Mandzukic could pack his bags,’ said Beckenbauer.
    ‘I don’t think Mandzukic suits Pep Guardiola’s style.
    ‘Also – even without him, Guardiola could still count on Thomas Muller and Mario Gotze in attack.’
    Arsenal would only be interested in signing Mandzukic on-loan, and having followed him since his days at Dinamo Zagreb, Wenger knows all about his abilities.
    Chelsea and Tottenham have also been rumoured to be keen on the striker in recent months.

    0 comments:

    Jan 24, 2014

    Essien asain AC MIllan

    Kiungo Mghana wa Chelsea Michael Essien, amemwaga wino kukipiga na klabu ya AC Millan ya Serea A.
    Akiondoka kwa uhamisho wa bure, amekuwa mchezaji wa kwanza kusainiwa na kocha mpya wa AC Millan Clarence Seedorf kuichezea AC Millan kwa mkataba wa miezi 18.

    Michael Essien atimkia AC Millan

    Posted at  1/24/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Essien asain AC MIllan

    Kiungo Mghana wa Chelsea Michael Essien, amemwaga wino kukipiga na klabu ya AC Millan ya Serea A.
    Akiondoka kwa uhamisho wa bure, amekuwa mchezaji wa kwanza kusainiwa na kocha mpya wa AC Millan Clarence Seedorf kuichezea AC Millan kwa mkataba wa miezi 18.

    0 comments:

    Jan 23, 2014

    Mshambuliaji wa Manchester United Chicharito

    Mshambuliaji wa Manchester United, Javier Hernrndez (Chicharito); ameomba kuondoka Manchester Unietd.

    Siku moja baada ya Man U kuondolewa kwenye mashindano ya Capital One cup, Chicharito aomba kuondoka aende kwingine ili apate nafasi ya kucheza.

    Hernendez ni chaguo la ni chaguo la nne la David moyes baada ya Van Persie, Wyne Rooney na Danny Welbeck.

    Javier Hernendez kuondoka Manchester United

    Posted at  1/23/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Mshambuliaji wa Manchester United Chicharito

    Mshambuliaji wa Manchester United, Javier Hernrndez (Chicharito); ameomba kuondoka Manchester Unietd.

    Siku moja baada ya Man U kuondolewa kwenye mashindano ya Capital One cup, Chicharito aomba kuondoka aende kwingine ili apate nafasi ya kucheza.

    Hernendez ni chaguo la ni chaguo la nne la David moyes baada ya Van Persie, Wyne Rooney na Danny Welbeck.

    0 comments:


    FIFA says Jennifer Lopez will team with rapper Pitbull and Brazilian singer Claudia Leitte to perform the official World Cup song for this year's tournament.
    Soccer's governing body made the announcement Thursday but didn't say when "We Are One (Ole Ola)" will be released.
    The song was written and co-produced by Pitbull. Leitte says she is looking forward to "dancing samba with Pitbull and Jennifer Lopez in Brazil."
    Lopez was not in Rio for the announcement.
    Shakira wrote "Waka Waka" for the 2010 World Cup in South Africa.

    News as reported by ARIZONA DAILY STAR

    Brazil 2014: Pitbull, J-Lo and Leitte to bring official World Cup song

    Posted at  1/23/2014  |  in  Michezo  |  Read More»


    FIFA says Jennifer Lopez will team with rapper Pitbull and Brazilian singer Claudia Leitte to perform the official World Cup song for this year's tournament.
    Soccer's governing body made the announcement Thursday but didn't say when "We Are One (Ole Ola)" will be released.
    The song was written and co-produced by Pitbull. Leitte says she is looking forward to "dancing samba with Pitbull and Jennifer Lopez in Brazil."
    Lopez was not in Rio for the announcement.
    Shakira wrote "Waka Waka" for the 2010 World Cup in South Africa.

    News as reported by ARIZONA DAILY STAR

    1 comments:

    Kocha wa zamani wa Manchester United, sir Alex Furguson


    Kituko kimetokea jana usiku katika jiji la manchester baada ya shabiki mmoja wa mashetani hao aliyekuwa amelewa kupiga simu polisi (999) na kuomba kuongea na Alex Furguson

    Tukio hilo lilitoke baada ya Manchester kutolewa nje ya mashindano ya Capital One Cup.

    Hakuambulia kuongea na Furguson badala yake alielezwa apige simu katika klabu ya Manchester

    Kituko cha mwaka: Shabiki wa Manchester United apiga 999 na kuomba kuongea na Furguson

    Posted at  1/23/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Kocha wa zamani wa Manchester United, sir Alex Furguson


    Kituko kimetokea jana usiku katika jiji la manchester baada ya shabiki mmoja wa mashetani hao aliyekuwa amelewa kupiga simu polisi (999) na kuomba kuongea na Alex Furguson

    Tukio hilo lilitoke baada ya Manchester kutolewa nje ya mashindano ya Capital One Cup.

    Hakuambulia kuongea na Furguson badala yake alielezwa apige simu katika klabu ya Manchester

    0 comments:


    Kocha wa Arsenal Arsene Wenger haamini kinachotokea kwa Chelsea kumuuzi Man U Juan Mata.

    Wenger haamini kama Morihno anaweza kuwauzia mahasimu wake kiungo Juan Mata.

    Inamlazimu mfaransa huyo kuamini kwamba tukio hilo litakua ni mwendelezo wa Kocha wa Chelsea Jose Morihno kutumia mbinu chafu za kuizuia Arsenal.

    Kimsingi Chelsea ameshacheza na Man U mechi zote, ila Man U bado hajacheza na Arsenal mechi moja.

    Kama habari za Mata kutua Man zitakuwa za kweli basi kuna kila uwezekano wa Mata kucheza dhidi ya Arsenal akiwa na jezi ya United.

    Hivyo kwa mujibu wa Wenger, huenda Morihno anapenda Man U wamsaidie kazi ya kuisimamisha Arsenal.

    Wenger: Kumuuza Juan Mata Manchester United, ni mbinu chafu za Morihno kuizuia Arsenal

    Posted at  1/23/2014  |  in  Michezo  |  Read More»


    Kocha wa Arsenal Arsene Wenger haamini kinachotokea kwa Chelsea kumuuzi Man U Juan Mata.

    Wenger haamini kama Morihno anaweza kuwauzia mahasimu wake kiungo Juan Mata.

    Inamlazimu mfaransa huyo kuamini kwamba tukio hilo litakua ni mwendelezo wa Kocha wa Chelsea Jose Morihno kutumia mbinu chafu za kuizuia Arsenal.

    Kimsingi Chelsea ameshacheza na Man U mechi zote, ila Man U bado hajacheza na Arsenal mechi moja.

    Kama habari za Mata kutua Man zitakuwa za kweli basi kuna kila uwezekano wa Mata kucheza dhidi ya Arsenal akiwa na jezi ya United.

    Hivyo kwa mujibu wa Wenger, huenda Morihno anapenda Man U wamsaidie kazi ya kuisimamisha Arsenal.

    0 comments:


    News as to Dail mail online news, by Lee Clayton.

    The Premier League years have thrown up some remarkable specimens. Some fine players, too.

    Indulge me for a moment: there has been David Beckham, David Ginola, Thierry Henry, Gareth Bale, Cristiano Ronaldo, Didier Drogba and, on the touchline, Jose Mourinho.

    You're not really supposed to adore players from the press box, but I always relished reporting on Eric Cantona.

    Of course, I know players can't go around impersonating Bruce Lee (even if a moronic supporter abuses your mum), but... it was Eric. It felt like a football career in the life of a film star. There was something inevitable about his chaos.

    I also remember one night at Brammall Lane, Sheffield, when Cantona was majestic and scored this chip.

    I wrote something like: 'It was another wonderful night in the company of Eric Cantona'.

    It was a privilege to watch him at his best. He wasn't quick, but he was quick upstairs and his balance and protection of the ball made it difficult for defenders to get close.

    He made good players better, he made Manchester United tick. Collar up, chest out: a swaggering mixture of volatile fury and cunning skill. Sometimes, he would look as if he didn't care and then he would turn the match. He needed Manchester United (Sheffield Wednesday once asked him to take place in a trial!) and Manchester United needed him. He was the original Zlatan Ibrahimovic.

    Every so often a footballer comes along who is different. A player who stands out for his originality. And I saw another of those players at Upton Park on Tuesday.

    Manchester City's Alvaro Negredo was magnificent. OK, I know it was against West Ham's hopeless defence, but it was the second time I have seen 'La fiera de Vallecas' ('The Beast' to you and I) in the flesh. On both occasions West Ham have had no idea how to handle him.

    Yes, he can play as a target man, but his movement, work rate, touch, reading of the game, link play and threat coming in from wide is exceptional.

    Luis Suarez of Liverpool and Arsenal's Aaron Ramsey have been the stand-out individuals of this thrilling season so far, but Negredo is another to stand on the podium.

    Jamie Redknapp has already written his view on the ‘caveman who plays like an artist’ and now I have seen for myself what he means.

    Negredo is not the same as Cantona, of course. He plays with Cantona's power but he has more pace. There doesn't seem to be a dark side - and scores more goals.

    He now has 23 in 33 games for City – surely a team destined to win the Barclays Premier League title this season. And he is a box office footballer too – strong, powerful, direct. And that's before we even mention the stylish, handsome beard (they are all the rage these days, apparently...)

    Back to the football and City arrived at West Ham leading 6-0 from the first leg, played their first-choice strikers and took the aggregate victory to 9-0. Negredo scored twice. Their attitude was professional and determined.

    The talk from their camp before the game was about them maintaining their momentum and scoring more goals. Negredo scored in the third minute and the momentum was maintained.

    Sergio Aguero might be more skilful, he might have more pace, he might be more eye-catching but Negredo is something else.

    Negredo the new episode of Manchester stars series

    Posted at  1/23/2014  |  in  Makala  |  Read More»


    News as to Dail mail online news, by Lee Clayton.

    The Premier League years have thrown up some remarkable specimens. Some fine players, too.

    Indulge me for a moment: there has been David Beckham, David Ginola, Thierry Henry, Gareth Bale, Cristiano Ronaldo, Didier Drogba and, on the touchline, Jose Mourinho.

    You're not really supposed to adore players from the press box, but I always relished reporting on Eric Cantona.

    Of course, I know players can't go around impersonating Bruce Lee (even if a moronic supporter abuses your mum), but... it was Eric. It felt like a football career in the life of a film star. There was something inevitable about his chaos.

    I also remember one night at Brammall Lane, Sheffield, when Cantona was majestic and scored this chip.

    I wrote something like: 'It was another wonderful night in the company of Eric Cantona'.

    It was a privilege to watch him at his best. He wasn't quick, but he was quick upstairs and his balance and protection of the ball made it difficult for defenders to get close.

    He made good players better, he made Manchester United tick. Collar up, chest out: a swaggering mixture of volatile fury and cunning skill. Sometimes, he would look as if he didn't care and then he would turn the match. He needed Manchester United (Sheffield Wednesday once asked him to take place in a trial!) and Manchester United needed him. He was the original Zlatan Ibrahimovic.

    Every so often a footballer comes along who is different. A player who stands out for his originality. And I saw another of those players at Upton Park on Tuesday.

    Manchester City's Alvaro Negredo was magnificent. OK, I know it was against West Ham's hopeless defence, but it was the second time I have seen 'La fiera de Vallecas' ('The Beast' to you and I) in the flesh. On both occasions West Ham have had no idea how to handle him.

    Yes, he can play as a target man, but his movement, work rate, touch, reading of the game, link play and threat coming in from wide is exceptional.

    Luis Suarez of Liverpool and Arsenal's Aaron Ramsey have been the stand-out individuals of this thrilling season so far, but Negredo is another to stand on the podium.

    Jamie Redknapp has already written his view on the ‘caveman who plays like an artist’ and now I have seen for myself what he means.

    Negredo is not the same as Cantona, of course. He plays with Cantona's power but he has more pace. There doesn't seem to be a dark side - and scores more goals.

    He now has 23 in 33 games for City – surely a team destined to win the Barclays Premier League title this season. And he is a box office footballer too – strong, powerful, direct. And that's before we even mention the stylish, handsome beard (they are all the rage these days, apparently...)

    Back to the football and City arrived at West Ham leading 6-0 from the first leg, played their first-choice strikers and took the aggregate victory to 9-0. Negredo scored twice. Their attitude was professional and determined.

    The talk from their camp before the game was about them maintaining their momentum and scoring more goals. Negredo scored in the third minute and the momentum was maintained.

    Sergio Aguero might be more skilful, he might have more pace, he might be more eye-catching but Negredo is something else.

    1 comments:

    Jan 22, 2014

    Vito Mannone ameibuka kuwa shujaa mkubwa mbele ya maelfu ya mashabiki waliokuwa Old Traford baada ya kupangua michomo miwili ya penaiti.
    Manchester United na Sunderland wamejikuta wakiamuliwa na matuta baada ya kulingana magoli 3 - 3.
    Sunderland wanaelekea Wembley baada ya kuweka nyavuni mikwaju 2 dhidi ya 1 wa Manchester united.

    Waliopiga mikwaju ya penaiti

    Craig Gardner - Sun - Alipiga nje
    Danny Welbeck - Man - alipiga nje
    Fletcher - Sun - Degea alidaka
    Flecher - Man - alipata
    Alonso  - sun - alipata
    Januzaj - Man - Mannone alidaka
    Ki - Sun - alipata
    Phil Jones - Man - alipiga nje
    Adam Johnson - Sun - Degea alidaka
    Rafael - Man - Mannone alidaka

    Sunderland yaitoa Manchester United nusu fainali Capital One Cup

    Posted at  1/22/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Vito Mannone ameibuka kuwa shujaa mkubwa mbele ya maelfu ya mashabiki waliokuwa Old Traford baada ya kupangua michomo miwili ya penaiti.
    Manchester United na Sunderland wamejikuta wakiamuliwa na matuta baada ya kulingana magoli 3 - 3.
    Sunderland wanaelekea Wembley baada ya kuweka nyavuni mikwaju 2 dhidi ya 1 wa Manchester united.

    Waliopiga mikwaju ya penaiti

    Craig Gardner - Sun - Alipiga nje
    Danny Welbeck - Man - alipiga nje
    Fletcher - Sun - Degea alidaka
    Flecher - Man - alipata
    Alonso  - sun - alipata
    Januzaj - Man - Mannone alidaka
    Ki - Sun - alipata
    Phil Jones - Man - alipiga nje
    Adam Johnson - Sun - Degea alidaka
    Rafael - Man - Mannone alidaka

    0 comments:


    Hatimae Chelsea wamekubali kumwachia Juani Mata kwa kitita cha paundi milioni 37 aelekee Manchester united.

    Mazungumzo ya baina ya Chelsea na United yakiwa yamefanyika tangu jumatatu, kiungo juan mata atanya vipimo kesho alhamisi na kuanza kazi rasmi United kwa malipo ya paundi 70,000 kwa wiki.

    Hata hivyo linabaki sakata la mshambuliaji aliyeishiwa furaha dhidi ya mwenendo wa timu, Wyne Rooney; baada ya kuweka wazi adhma yake ya kuondoka Old Traford.

    Hatimae Juan Mata atua Manchester United

    Posted at  1/22/2014  |  in  Michezo  |  Read More»


    Hatimae Chelsea wamekubali kumwachia Juani Mata kwa kitita cha paundi milioni 37 aelekee Manchester united.

    Mazungumzo ya baina ya Chelsea na United yakiwa yamefanyika tangu jumatatu, kiungo juan mata atanya vipimo kesho alhamisi na kuanza kazi rasmi United kwa malipo ya paundi 70,000 kwa wiki.

    Hata hivyo linabaki sakata la mshambuliaji aliyeishiwa furaha dhidi ya mwenendo wa timu, Wyne Rooney; baada ya kuweka wazi adhma yake ya kuondoka Old Traford.

    0 comments:

    Bloodied but back! Kiefer Sutherland as Jack Bauer in the new 24 series set in London

    Makeover: Mary Lynn Rajskub looks entirely different as she reprises her role as Chloe O'Brian for he new series

    Gun in hand: Bauer looks back in the old groove as he holds on tight to his weapon

    Hunk on set! Kiefer looks fitter than ever as he reprises his role of Jack Bauer

    Up in flames! A London cab is flipped upside down and burns as cameras roll

    Watch out: Actors on set jumped as the explosion went off around them

    Getting her to safety: Jack carries Chloe away from danger

    Time for a touch-up! A make-up artist makes Kiefer's blood look even more real

    Just a spritz! Kiefer makes his sweat look all the more realistic with a touch of Dr Hauschka

    Making a dash for it: Extras were seen running away from the fire as the cab burst into flames


    Angalia picha za Jack Bauer akirekodi mwendelezo wa 24 Hours'

    Posted at  1/22/2014  |  in  Burudani  |  Read More»

    Bloodied but back! Kiefer Sutherland as Jack Bauer in the new 24 series set in London

    Makeover: Mary Lynn Rajskub looks entirely different as she reprises her role as Chloe O'Brian for he new series

    Gun in hand: Bauer looks back in the old groove as he holds on tight to his weapon

    Hunk on set! Kiefer looks fitter than ever as he reprises his role of Jack Bauer

    Up in flames! A London cab is flipped upside down and burns as cameras roll

    Watch out: Actors on set jumped as the explosion went off around them

    Getting her to safety: Jack carries Chloe away from danger

    Time for a touch-up! A make-up artist makes Kiefer's blood look even more real

    Just a spritz! Kiefer makes his sweat look all the more realistic with a touch of Dr Hauschka

    Making a dash for it: Extras were seen running away from the fire as the cab burst into flames


    3 comments:

    Jan 21, 2014

    Man U prepare a bid to snatch Juan Mata

    According to the Daily Mirrorthe champions ARE preparing a £37million bid to land the Blues misfit.
    David Moyes' response to the defeat at Stamford Bridge on Sunday which left the champions 14 points adrift of leaders Arsenal and six shy of fourth-placed Liverpool was to target the Spanish playmaker.
    United insisted last night that they have NOT tabled any bid for Mata , but Chelsea are braced for an official approach from Old Trafford in the next 48 hours which could see former Valencia schemer Mata leaving London.
    Mourinho insists he does not want Mata to leave and it is understood that is very much Chelsea's position over the popular 25-year-old.
    United, though, have now played Chelsea twice and so Mata could not damage their title bid this season, while the Old Trafford outfit still have to face both Arsenal and Manchester City.

    Man United arrange £37million bid to land in juan Mata

    Posted at  1/21/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Man U prepare a bid to snatch Juan Mata

    According to the Daily Mirrorthe champions ARE preparing a £37million bid to land the Blues misfit.
    David Moyes' response to the defeat at Stamford Bridge on Sunday which left the champions 14 points adrift of leaders Arsenal and six shy of fourth-placed Liverpool was to target the Spanish playmaker.
    United insisted last night that they have NOT tabled any bid for Mata , but Chelsea are braced for an official approach from Old Trafford in the next 48 hours which could see former Valencia schemer Mata leaving London.
    Mourinho insists he does not want Mata to leave and it is understood that is very much Chelsea's position over the popular 25-year-old.
    United, though, have now played Chelsea twice and so Mata could not damage their title bid this season, while the Old Trafford outfit still have to face both Arsenal and Manchester City.

    0 comments:

    Jan 20, 2014

    Kwa mujibu wa LIST DOSE, hawa ndio waigizaji wakubwa duniani 2013;kulingana na kipato wanachomiliki.

    10. Robert De Niro- $185 Million

    robert-de-niro

    9. Salman Khan- $200 Million

    Salman-Khan

    8. Will Smith- $200 Million

    will-smith

    7. Leonardo DiCaprio- $215 Million

    leonardo-dicaprio

    6. Tom Cruise- $250 Million

    tom-cruise

    5. Sylvester Stallone- $275 Million

    Sylvester-Stallone

    4. Tom Hanks- $350 Million

    Tom Hanks stars in Columbia Pictures' suspense thriller "Angels & Demons."

    3. Johnny Depp- $350 Million

    johnny-depp

    2. Keanu Reeves- $350 Million

    keanu-reeves

    1. Shahrukh Khan- $600 Million

    shahrukh-khan

    Orodha ya waigizaji 10 matajiri duniani hii hapa!!

    Posted at  1/20/2014  |  in  Burudani  |  Read More»

    Kwa mujibu wa LIST DOSE, hawa ndio waigizaji wakubwa duniani 2013;kulingana na kipato wanachomiliki.

    10. Robert De Niro- $185 Million

    robert-de-niro

    9. Salman Khan- $200 Million

    Salman-Khan

    8. Will Smith- $200 Million

    will-smith

    7. Leonardo DiCaprio- $215 Million

    leonardo-dicaprio

    6. Tom Cruise- $250 Million

    tom-cruise

    5. Sylvester Stallone- $275 Million

    Sylvester-Stallone

    4. Tom Hanks- $350 Million

    Tom Hanks stars in Columbia Pictures' suspense thriller "Angels & Demons."

    3. Johnny Depp- $350 Million

    johnny-depp

    2. Keanu Reeves- $350 Million

    keanu-reeves

    1. Shahrukh Khan- $600 Million

    shahrukh-khan

    0 comments:


    Picha za uchi za Rihhana
    Mwanamuziki Rihana, alionekana akipiga picha za nusu uchi akiwa na rafiki zake katka mji wa maraha Rio.



    picha za uchi za mwanamuziki



    Picha za mwanamuziki Rihanna akiwa nusu uchi:tazama hapa

    Posted at  1/20/2014  |  in  Udaku  |  Read More»


    Picha za uchi za Rihhana
    Mwanamuziki Rihana, alionekana akipiga picha za nusu uchi akiwa na rafiki zake katka mji wa maraha Rio.



    picha za uchi za mwanamuziki



    0 comments:


    A study found for the first time the high content of flavonoids found in berry fruits may regulate blood glucose levels, and stave off type 2 diabetes.
    Flavonoids are antioxidant compounds found in plants, as well as tea, red wine and chocolate, which can protect against a wide range of diseases, including heart disease, hypertension, some cancers and dementia.
    The findings, published in the Journal of Nutrition, say that the compounds found in herbs, berries and red wine may all protect against diabetes.
    That's because they are linked to lower insulin resistance and better control of blood sugar.
    According to the Dailymail, Researchers from the University of East Anglia (UEA) and King's College London reveal that high intakes are linked with lower insulin resistance and better blood glucose regulation.
    They also lowered inflammation which, when chronic, can lead to disease, says the study published today in the Journal of Nutrition.
    Prof Aedin Cassidy from UEA's Norwich Medical School, who led the research, said 'We focused on flavones, which are found in herbs and vegetables such as parsley, thyme, and celery, and anthocyanins, found in berries, red grapes, wine and other red or blue-coloured fruits and vegetables.
    'This is one of the first large-scale human studies to look at how these powerful bioactive compounds might reduce the risk of diabetes.
    'Laboratory studies have shown these types of foods might modulate blood glucose regulation - affecting the risk of type 2 diabetes.
    Professor Tim Spector, director of the TwinsUK study at King's College London, who took part in the research, said: "This is an exciting finding that shows that some components of foods that we consider unhealthy like chocolate or wine may contain some beneficial substances.
    "If we can start to identify and separate these substances we can potentially improve healthy eating.
    "There are many reasons including genetics why people prefer certain foods so we should be cautious until we test them properly in randomised trials and in people developing early diabetes."

    Red wine and chocolate as diabetes remedy.

    Posted at  1/20/2014  |  in  Makala  |  Read More»


    A study found for the first time the high content of flavonoids found in berry fruits may regulate blood glucose levels, and stave off type 2 diabetes.
    Flavonoids are antioxidant compounds found in plants, as well as tea, red wine and chocolate, which can protect against a wide range of diseases, including heart disease, hypertension, some cancers and dementia.
    The findings, published in the Journal of Nutrition, say that the compounds found in herbs, berries and red wine may all protect against diabetes.
    That's because they are linked to lower insulin resistance and better control of blood sugar.
    According to the Dailymail, Researchers from the University of East Anglia (UEA) and King's College London reveal that high intakes are linked with lower insulin resistance and better blood glucose regulation.
    They also lowered inflammation which, when chronic, can lead to disease, says the study published today in the Journal of Nutrition.
    Prof Aedin Cassidy from UEA's Norwich Medical School, who led the research, said 'We focused on flavones, which are found in herbs and vegetables such as parsley, thyme, and celery, and anthocyanins, found in berries, red grapes, wine and other red or blue-coloured fruits and vegetables.
    'This is one of the first large-scale human studies to look at how these powerful bioactive compounds might reduce the risk of diabetes.
    'Laboratory studies have shown these types of foods might modulate blood glucose regulation - affecting the risk of type 2 diabetes.
    Professor Tim Spector, director of the TwinsUK study at King's College London, who took part in the research, said: "This is an exciting finding that shows that some components of foods that we consider unhealthy like chocolate or wine may contain some beneficial substances.
    "If we can start to identify and separate these substances we can potentially improve healthy eating.
    "There are many reasons including genetics why people prefer certain foods so we should be cautious until we test them properly in randomised trials and in people developing early diabetes."

    1 comments:

    Jan 19, 2014


    Tajiri kuliko wote nchini China Wang Jianlin, ajiandaa kuweka mezani kitita ili kuinyakua Southampton.

    Ikiwa atafanikiwa basi itamaanisha Nicola Cortese atarudi Southampton kama mwenyekiti wa klabu hiyo.

    Inasemekana meneja wa klabu hiyo Mauricio Pachettino, anaijua nia ya Billionea huyo kiongozi wa kampuni ya uwekezaji ijulikanayo kwa jina la Wanda.

    Kampuni ya Wanda ina utajiri wa Billiona 175, nusu ya utajiri huo ukiwa ya Wang Jianlin.

    Jianlin anadhamiria kuingia katika ligi kuu ya Uingereza ili kuitangaza zaidi kampuni yao ya Wanda, kwa kumwanga mezani paundi millioni 175; ambayo itamfanya mmiliki wa sasa Liebherr asiwe na ujanja mwingine zaidi ya kulikubali donge hilo.

    Kwa mujibu wa gazeti la Uingereza la Daily Mirror, mazungumzo ya dili hilo yameshaanza na yanaelekea kufanikiwa.

    Iwapo dili hilo litakamilika litaifanya Southampton kuwa klabu tajiri zaidi katika ligi kuu ya Uingereza.

    Tajiri wa kichina Wang Jianlin kuifanya Southampton timu tajiri zaidi ligi kuu ya Uingereza

    Posted at  1/19/2014  |  in  Michezo  |  Read More»


    Tajiri kuliko wote nchini China Wang Jianlin, ajiandaa kuweka mezani kitita ili kuinyakua Southampton.

    Ikiwa atafanikiwa basi itamaanisha Nicola Cortese atarudi Southampton kama mwenyekiti wa klabu hiyo.

    Inasemekana meneja wa klabu hiyo Mauricio Pachettino, anaijua nia ya Billionea huyo kiongozi wa kampuni ya uwekezaji ijulikanayo kwa jina la Wanda.

    Kampuni ya Wanda ina utajiri wa Billiona 175, nusu ya utajiri huo ukiwa ya Wang Jianlin.

    Jianlin anadhamiria kuingia katika ligi kuu ya Uingereza ili kuitangaza zaidi kampuni yao ya Wanda, kwa kumwanga mezani paundi millioni 175; ambayo itamfanya mmiliki wa sasa Liebherr asiwe na ujanja mwingine zaidi ya kulikubali donge hilo.

    Kwa mujibu wa gazeti la Uingereza la Daily Mirror, mazungumzo ya dili hilo yameshaanza na yanaelekea kufanikiwa.

    Iwapo dili hilo litakamilika litaifanya Southampton kuwa klabu tajiri zaidi katika ligi kuu ya Uingereza.

    0 comments:


    Beki wa pembeni wa timu ya Arsenan Bacary Sagna, anajiandaa kuondoka Arsenal mwisho wa msimu huu.
    Mkataba wa Sagna unaisha mwishoni mwa msimu huu na maongezi ya kuongeza mkataba bado yanasuasua.
    Timu ya Arsenal ina utaratibu wa kumwongezea mkataba wa mwaka mmoja mchezaji mwenye umri wa miaka thelathini na kuendelea, Bacary Sagna anaomba kuongezewa miaka mitatu na Arsenal iko tayari kuongeza miaka miwili.
    Kama iwapo hawatoafikiana basi sagna taondoka bila ada yoyote ya uhamisho

    Bacary Sagna ajiandaa kuondoka Arsenal

    Posted at  1/19/2014  |  in  Michezo  |  Read More»


    Beki wa pembeni wa timu ya Arsenan Bacary Sagna, anajiandaa kuondoka Arsenal mwisho wa msimu huu.
    Mkataba wa Sagna unaisha mwishoni mwa msimu huu na maongezi ya kuongeza mkataba bado yanasuasua.
    Timu ya Arsenal ina utaratibu wa kumwongezea mkataba wa mwaka mmoja mchezaji mwenye umri wa miaka thelathini na kuendelea, Bacary Sagna anaomba kuongezewa miaka mitatu na Arsenal iko tayari kuongeza miaka miwili.
    Kama iwapo hawatoafikiana basi sagna taondoka bila ada yoyote ya uhamisho

    0 comments:

    Jan 18, 2014


    Nyota wa muziki wa mtindo wa kufokafoka Kanye West na mwanamitindo Kim Kardashian wanatarajia kufunga ndoa miezi michache ijayo.
    Hilo limethibitishwa na Kim Kardashian katika kipindi cha runinga kinachoendeshwa na Ellen DeGeneres.
    Katika mahojiano hayo Kim aweka wazi kuwa atafunga ndoa na Kanye, na ndoa hiyo itafanyika nje ya Marekani; japo hakutoa tarehe rasmi ila alisisitiza si muda mrefu itafanyika.


    Ellen alizidi kumchokonoa ili afunguke,ila Kim alizidi kusema bado hawajapanga tarehe rasmi.
    Kanye West alifanya "suprise" kwa Kim katika sherehe za siku ya kuzliwa ya Kim kwa kumjulisha kwamba wangefunga ndoa.
    Hellen alimpatia Kim zawadi ya ndoa kabla, alimzawadia nguo za ndani za kuogelea.


    Mwanamuziki Kanye West kufunga ndoa na Kim Kardashian.

    Posted at  1/18/2014  |  in  Burudani  |  Read More»


    Nyota wa muziki wa mtindo wa kufokafoka Kanye West na mwanamitindo Kim Kardashian wanatarajia kufunga ndoa miezi michache ijayo.
    Hilo limethibitishwa na Kim Kardashian katika kipindi cha runinga kinachoendeshwa na Ellen DeGeneres.
    Katika mahojiano hayo Kim aweka wazi kuwa atafunga ndoa na Kanye, na ndoa hiyo itafanyika nje ya Marekani; japo hakutoa tarehe rasmi ila alisisitiza si muda mrefu itafanyika.


    Ellen alizidi kumchokonoa ili afunguke,ila Kim alizidi kusema bado hawajapanga tarehe rasmi.
    Kanye West alifanya "suprise" kwa Kim katika sherehe za siku ya kuzliwa ya Kim kwa kumjulisha kwamba wangefunga ndoa.
    Hellen alimpatia Kim zawadi ya ndoa kabla, alimzawadia nguo za ndani za kuogelea.


    0 comments:

    About-Privacy Policy-Contact us
    Copyright © 2013 mchambuzi@habari online. Blogger Template by Bloggertheme9
    Proudly Powered by Blogger.
    back to top