Jan 14, 2014

Nemanja matic arejea Chelsea

Posted at  1/14/2014  |  in  Michezo

Usajiri Chelsea
Nemanja Matic:

Nemanja Matic aliyetumikia timu ya Chelsea miaka miwili kabla ya kutimikia Benifica ya Ureno 201,1 anarudi tena Chelsea kwa mara nyingine.
Ripoti kutoka ureno zinasema kwamba Chelsea itatoa kitita cha paundi milioni 25 pamoja na kumtoa Gael Kakuta kwa mkopo ili kumrudisha Mserbia huyo mwenye umri wa miaka 25 Darajani.

Matic amedhibitisha kuwa mchezo uliopita dhidi ya FC Porto ndo ulikuwa wa mwisho kwake akiwa na sare ya Benifica.
Aliliambia gazeti la A Bola: "Mchezo dhidi ya FC ulikuwa wa mwisho nikiwa na Benfica".

"Nataka nikue kisoka,hivyo nataka kuchezea ligi bora na klabu niipendayo ya Chelsea"
"Nawashukuru wote, mashabiki na kila mtu,daima nitaipenda Benifica. Nimeamua kuondoka kwani ndio wakati mwafaka"


Share this post

About Naveed Iqbal

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Follow him on Google+.

0 comments:

About-Privacy Policy-Contact us
Copyright © 2013 mchambuzi@habari online. Blogger Template by Bloggertheme9
Proudly Powered by Blogger.
back to top