Jan 22, 2014

Hatimae Juan Mata atua Manchester United

Posted at  1/22/2014  |  in  Michezo


Hatimae Chelsea wamekubali kumwachia Juani Mata kwa kitita cha paundi milioni 37 aelekee Manchester united.

Mazungumzo ya baina ya Chelsea na United yakiwa yamefanyika tangu jumatatu, kiungo juan mata atanya vipimo kesho alhamisi na kuanza kazi rasmi United kwa malipo ya paundi 70,000 kwa wiki.

Hata hivyo linabaki sakata la mshambuliaji aliyeishiwa furaha dhidi ya mwenendo wa timu, Wyne Rooney; baada ya kuweka wazi adhma yake ya kuondoka Old Traford.

Share this post

About Naveed Iqbal

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Follow him on Google+.

0 comments:

About-Privacy Policy-Contact us
Copyright © 2013 mchambuzi@habari online. Blogger Template by Bloggertheme9
Proudly Powered by Blogger.
back to top