• HABARI MPYA

    Obama na Putin wajadiliana kuhusu Ukraine

  • HABARI MPYA

    Jack Wilshere nje wiki sita

  • MAKALA

    Cancer in relation to Herat Attack

  • MAKALA

    Diabetes Remedy

  • Mar 18, 2014

    dreamteam12312412412

    Kwa maoni ya wadau wengi wa soka na mashabiki nguli wa Manchester, hiki ndio kikosi bora cha muda wote wa Ferguson akiwa Manchester United.

    Tengeneza kikosi chako bora katika enzi za Fergie, Weka maoni yako hapa chini

    Kikosi bora cha Manchester katika enzi za sir Alex Ferguson hiki hapa

    Posted at  3/18/2014  |  in    |  Read More»

    dreamteam12312412412

    Kwa maoni ya wadau wengi wa soka na mashabiki nguli wa Manchester, hiki ndio kikosi bora cha muda wote wa Ferguson akiwa Manchester United.

    Tengeneza kikosi chako bora katika enzi za Fergie, Weka maoni yako hapa chini

    0 comments:

    Mar 9, 2014

    Wenger v Mourinho

    Kati ya michezo ya ligi kuu ya Uingereza isiyopendwa na kocha Arsene Wenger ni dhidi ya Chelsea ya Mourinho. Wakiwa mahasimu wakubwa, Bosi Arsene Wenger anahofu huenda Morinho akaifanya siku yake ikajawa na majonzi. Siku za hivi karibuni Morinho amaemwelezea Wenger kama kocha mwenye mafanikio ya kufeli zaidi katika ligi kuu ya England. Morinho amesema kwamba Wenger anapoteza muda kwa kuiga mchezo wa Barcelona usiowezekana katika mazingira ya Uingereza. Wenger atafikisha mchezo wa 1000 akiwa na Arsenal katika mchezo dhidi ya Chelsea. Kwa sasa Arsenal iko nafasi ya tatu nyuma ya Chesea na Liverpool. Jana jumamosi ilifanikiwa kuelekea nusu fainali ya kombe la FA baada ya kuibwaga Everton mabao 4 - 1.

    Wenger kucheza mchezo wake wa 1000 na Jose Mourinho English Premium League

    Posted at  3/09/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Wenger v Mourinho

    Kati ya michezo ya ligi kuu ya Uingereza isiyopendwa na kocha Arsene Wenger ni dhidi ya Chelsea ya Mourinho. Wakiwa mahasimu wakubwa, Bosi Arsene Wenger anahofu huenda Morinho akaifanya siku yake ikajawa na majonzi. Siku za hivi karibuni Morinho amaemwelezea Wenger kama kocha mwenye mafanikio ya kufeli zaidi katika ligi kuu ya England. Morinho amesema kwamba Wenger anapoteza muda kwa kuiga mchezo wa Barcelona usiowezekana katika mazingira ya Uingereza. Wenger atafikisha mchezo wa 1000 akiwa na Arsenal katika mchezo dhidi ya Chelsea. Kwa sasa Arsenal iko nafasi ya tatu nyuma ya Chesea na Liverpool. Jana jumamosi ilifanikiwa kuelekea nusu fainali ya kombe la FA baada ya kuibwaga Everton mabao 4 - 1.

    0 comments:

    Mar 8, 2014

    Mchezaji wa Arsenal Mikel Arteta

    Magoli manne yametosha kuipeleka Arsenal nusu fainali ya FA itakayochezewa katika uwanja wa Wembley. Ikiwa inacheza na Everton mchezo ulionekana kuwa mgumu kwa Arsenal katika kipindi cha kwanza, japo mambo yalibadilika kipindi cha pili baada ya Rosicky na Giroud  kuchukua nafasi za Chamberlain na Sanogo. Arsenal ilikuwa ya kwanza kupata bao kupitia kwa Ozil kabla ya Lukaku kusawazisha katika kipindi cha kwanza. Dakika ya 70 Arsenal ilipata bao la pili kupitia kwa Arteta kwa mkwaju wa Penalt.
    Dakika 10 za mwisho Giroud alipachika wavuni magoli 2 na mechi ikaisha ubao ukisomeka 4 - 1.

    Kwa habari zaidi tembelea:-

    Arsenal yaelekea Wembley

    Posted at  3/08/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Mchezaji wa Arsenal Mikel Arteta

    Magoli manne yametosha kuipeleka Arsenal nusu fainali ya FA itakayochezewa katika uwanja wa Wembley. Ikiwa inacheza na Everton mchezo ulionekana kuwa mgumu kwa Arsenal katika kipindi cha kwanza, japo mambo yalibadilika kipindi cha pili baada ya Rosicky na Giroud  kuchukua nafasi za Chamberlain na Sanogo. Arsenal ilikuwa ya kwanza kupata bao kupitia kwa Ozil kabla ya Lukaku kusawazisha katika kipindi cha kwanza. Dakika ya 70 Arsenal ilipata bao la pili kupitia kwa Arteta kwa mkwaju wa Penalt.
    Dakika 10 za mwisho Giroud alipachika wavuni magoli 2 na mechi ikaisha ubao ukisomeka 4 - 1.

    Kwa habari zaidi tembelea:-

    0 comments:

    Paul Kagame;Rais wa Rwanda

    Afrika ya kusini imewaondoa wanadiplomasia watatu raia wa Rwanda ikiwahusisha na shambulizi dhdidi ya makazi ya kiongozi wa zamani wa Rwanda Kayumba Nyamwasa.
    Taarifa zinabainisha kuwa Rwanda nayo imeamuru kuondolewa kwa wajumbe sita wa Afrika ya kusini .
    Hatua hizo zinakuja baada ya watu wenye silaha kushambulia makazi ya Kayumba Nyamwasa aliyewahi kushika wadhifa wa juu katika serikali ya Rwanda.
    Hata hivyo wakati shambulizi hilo mkosoajii wa raisi Kagame Kayumba Nyamwasa hakuwepo nyumbani.
    Generali Nyamwasa ameponea chupuchupu majaribio mawili ya kumuua ambapo mnamo mwaka 2010 alipigwa risasi na kujeruhiwa tukio ambalo Rwanda ilikanusha kuhusika

    wanadiplomasia wa Kinyarwanda watimuliwa Afrika ya Kusini

    Posted at  3/08/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    Paul Kagame;Rais wa Rwanda

    Afrika ya kusini imewaondoa wanadiplomasia watatu raia wa Rwanda ikiwahusisha na shambulizi dhdidi ya makazi ya kiongozi wa zamani wa Rwanda Kayumba Nyamwasa.
    Taarifa zinabainisha kuwa Rwanda nayo imeamuru kuondolewa kwa wajumbe sita wa Afrika ya kusini .
    Hatua hizo zinakuja baada ya watu wenye silaha kushambulia makazi ya Kayumba Nyamwasa aliyewahi kushika wadhifa wa juu katika serikali ya Rwanda.
    Hata hivyo wakati shambulizi hilo mkosoajii wa raisi Kagame Kayumba Nyamwasa hakuwepo nyumbani.
    Generali Nyamwasa ameponea chupuchupu majaribio mawili ya kumuua ambapo mnamo mwaka 2010 alipigwa risasi na kujeruhiwa tukio ambalo Rwanda ilikanusha kuhusika

    0 comments:

    Mar 6, 2014

    Jack Wilshere

    Mchezaji wa kiungo cha kati wa Arsenal Jack Wilshere atakosa kucheza wiki sita baada ya kupata jeraha la mguu katika mechi aliyochezea England hapo juzi iliposhinda Denmark bao moja kwa bila. Kwa sababu hiyo atakosa mchuano wa FA wa robo fainali hapo kesho dhidi ya Everton na Jumanne ijayo atatazama tu timu yake ikicheza na Bayern Munich katika kombe la kilabu bingwa barani ulaya.
    Si hayo tu atakosa mechi nne muhimu za ligii ya England kati ya Chelsea, Manchester City, Swansea na Tottenham ambazo zinacheza mwezi huu.

    Jack Wilshere nje wiki sita

    Posted at  3/06/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Jack Wilshere

    Mchezaji wa kiungo cha kati wa Arsenal Jack Wilshere atakosa kucheza wiki sita baada ya kupata jeraha la mguu katika mechi aliyochezea England hapo juzi iliposhinda Denmark bao moja kwa bila. Kwa sababu hiyo atakosa mchuano wa FA wa robo fainali hapo kesho dhidi ya Everton na Jumanne ijayo atatazama tu timu yake ikicheza na Bayern Munich katika kombe la kilabu bingwa barani ulaya.
    Si hayo tu atakosa mechi nne muhimu za ligii ya England kati ya Chelsea, Manchester City, Swansea na Tottenham ambazo zinacheza mwezi huu.

    0 comments:

    Rais Obama na Putin

    Rais Obama amefanya mazungumzo zaidi ya kina na rais wa Urusi Vladmir Putin akisistiza kuwa vitendo vya nchi yake katika jimbo la Crimea ni ukiukaji wa mipaka na uhuru wa taifa la Ukraine.
    Wakati wa mazungumzo yao ya pili kupitia njia ya simu katika kipindi cha siku sita zilizopita, bwana Obama amependekeza njia ya kusuluhisha mzozo huo kidiplomasia inayojumuisha Urusi kuwaondoa wanajeshi wake katika jimbo la Crimea. Bwana Putin amesema uhusiano kati ya Moscow na Washington haufai kutatizika kutokana na mzozo wa Ukraine.
    Awali bwana alisema kuwa kura ya maoni iliyopendekezwa kuhusu jimbo la Crimea kujiunga na Moscow inakiuka sheria ya kimataifa na sharti ijumuishe serikali ya Kiev iwapo itaandaliwa.
    Akizungumza baada ya mkutano mwingine wa Baraza la Usalama uliofanyika faraghani, balozi wa Uingireza katika umoja wa mataifa , Mark Lyall Grant, amesema haiwezekani muafaka kupatikana katika baraza hilo kuhusu mzozo huo.
    "Nadhani hakuna dalili kwamba kutakuwa na mwafaka katika baraza la usalama katika kipindi cha siku chache zijazo. Kama ulivyosikia kutoka kwa wengine, kuna mashauri yanayoendelea kati ya wanadiplomasia kwenye mikutano mbali mbali Ulaya. Mashauri hayo yataendelea,'' amesema bwana Grant.
    ''Pengine kiwango fulani cha makubaliano kitaafikiwa ili kutuliza mgogoro huu na kisha baraza la usalama pengine litapata suluhu. Lakini hatujafutilia mbali mpango wa kuwasilisha azimio mbele ya Baraza la Usalama wakati wowote na tunafuatilia hali ya mambo kwa karibu tukitarajia baraza la Usalama likutane tena katika siku chache zijazo ikitegemea kitakachotokea mashinani."
    Mzozo huo wa Ukraine umechochea wanasiasa pamoja na wageni wengine mashuhuri kususia mashindano ya Olimpiki ya wanariadha walemavu nchini Urusi. Marekani imeondoa ujumbe wake katika michezo hiyo na mawaziri wa Uingereza hawatakuwepo sawia na wenzao kutoka mataifa mengine ya Ulaya.
    Habari na BBC SWAHILI

    Obama na Putin wajadiliana kuhusu Ukraine

    Posted at  3/06/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    Rais Obama na Putin

    Rais Obama amefanya mazungumzo zaidi ya kina na rais wa Urusi Vladmir Putin akisistiza kuwa vitendo vya nchi yake katika jimbo la Crimea ni ukiukaji wa mipaka na uhuru wa taifa la Ukraine.
    Wakati wa mazungumzo yao ya pili kupitia njia ya simu katika kipindi cha siku sita zilizopita, bwana Obama amependekeza njia ya kusuluhisha mzozo huo kidiplomasia inayojumuisha Urusi kuwaondoa wanajeshi wake katika jimbo la Crimea. Bwana Putin amesema uhusiano kati ya Moscow na Washington haufai kutatizika kutokana na mzozo wa Ukraine.
    Awali bwana alisema kuwa kura ya maoni iliyopendekezwa kuhusu jimbo la Crimea kujiunga na Moscow inakiuka sheria ya kimataifa na sharti ijumuishe serikali ya Kiev iwapo itaandaliwa.
    Akizungumza baada ya mkutano mwingine wa Baraza la Usalama uliofanyika faraghani, balozi wa Uingireza katika umoja wa mataifa , Mark Lyall Grant, amesema haiwezekani muafaka kupatikana katika baraza hilo kuhusu mzozo huo.
    "Nadhani hakuna dalili kwamba kutakuwa na mwafaka katika baraza la usalama katika kipindi cha siku chache zijazo. Kama ulivyosikia kutoka kwa wengine, kuna mashauri yanayoendelea kati ya wanadiplomasia kwenye mikutano mbali mbali Ulaya. Mashauri hayo yataendelea,'' amesema bwana Grant.
    ''Pengine kiwango fulani cha makubaliano kitaafikiwa ili kutuliza mgogoro huu na kisha baraza la usalama pengine litapata suluhu. Lakini hatujafutilia mbali mpango wa kuwasilisha azimio mbele ya Baraza la Usalama wakati wowote na tunafuatilia hali ya mambo kwa karibu tukitarajia baraza la Usalama likutane tena katika siku chache zijazo ikitegemea kitakachotokea mashinani."
    Mzozo huo wa Ukraine umechochea wanasiasa pamoja na wageni wengine mashuhuri kususia mashindano ya Olimpiki ya wanariadha walemavu nchini Urusi. Marekani imeondoa ujumbe wake katika michezo hiyo na mawaziri wa Uingereza hawatakuwepo sawia na wenzao kutoka mataifa mengine ya Ulaya.
    Habari na BBC SWAHILI

    0 comments:

    Mar 5, 2014

    Carles Puyol

    Nahodha wa klabu ya Barcelona Carles Puyol ametangaza atawahama mabingwa hao wa Hispania mwishoni mwa msimu huu.
    Puyol mwenye umri wa miaka 35 aliibukia kutoka vikosi vya vijana wa Barcelona na kujiunga na kikosi kikuu mwaka 1999.
    Amewachezea mabingwa watetezi wa La Liga takriban mara 400.
    Ameshinda vikombe sita vya ubingwa wa Ligi,vikombe vitatu vya klabu bingwa ya Ulaya,vikombe viwili vya shirikisho la kandanda la Uhispania pamoja na vikombe vya super cup vya klabu za ulaya na Uhispania.
    Pia amekua mchezaj muhimu katika nyanja ya kimataifa akiisaidia Hispania kunyakua ubingwa wa bara la Ulaya mwaka 2008 na kombe la dunia miaka miwili badae.
    Hata hivyo amekua akisumbuliwa na magoti katika miaka ya hivi karibuni na hakuweza kushiriki katika michuano ya kombe la mataifa ya Ulaya mwaka 2012.
    Msimu huu ameichezea Barcelona mara 12 tu.
    Puyol, ambae ameiwakilisha Hispania mara 100,alicheza mechi yake ya mwisho dhidi ya Uruguay, Februari 2013.
    Amesema angependa kupumzika baada ya kuondoka Barcelona. "sijui ntakachofanya baada ya Juni 30 lakini nina hakika nitapumzika" akaongeza.
    "nitaitisha mkutano na waandishi habari mwishoni mwa msimu huu ili niwaage baada ya kuichezea klabu hii kwa muda wa miaka 19 ," alisema Puyol

    Carles Puyol Kutimka Barcelona

    Posted at  3/05/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Carles Puyol

    Nahodha wa klabu ya Barcelona Carles Puyol ametangaza atawahama mabingwa hao wa Hispania mwishoni mwa msimu huu.
    Puyol mwenye umri wa miaka 35 aliibukia kutoka vikosi vya vijana wa Barcelona na kujiunga na kikosi kikuu mwaka 1999.
    Amewachezea mabingwa watetezi wa La Liga takriban mara 400.
    Ameshinda vikombe sita vya ubingwa wa Ligi,vikombe vitatu vya klabu bingwa ya Ulaya,vikombe viwili vya shirikisho la kandanda la Uhispania pamoja na vikombe vya super cup vya klabu za ulaya na Uhispania.
    Pia amekua mchezaj muhimu katika nyanja ya kimataifa akiisaidia Hispania kunyakua ubingwa wa bara la Ulaya mwaka 2008 na kombe la dunia miaka miwili badae.
    Hata hivyo amekua akisumbuliwa na magoti katika miaka ya hivi karibuni na hakuweza kushiriki katika michuano ya kombe la mataifa ya Ulaya mwaka 2012.
    Msimu huu ameichezea Barcelona mara 12 tu.
    Puyol, ambae ameiwakilisha Hispania mara 100,alicheza mechi yake ya mwisho dhidi ya Uruguay, Februari 2013.
    Amesema angependa kupumzika baada ya kuondoka Barcelona. "sijui ntakachofanya baada ya Juni 30 lakini nina hakika nitapumzika" akaongeza.
    "nitaitisha mkutano na waandishi habari mwishoni mwa msimu huu ili niwaage baada ya kuichezea klabu hii kwa muda wa miaka 19 ," alisema Puyol

    0 comments:

    Mar 3, 2014

    Nyoka ammeza mamba mzimamzima
    Chatu akipigana na mamba mwenye urefu wa futi sita kaskazini mwa mlima Isa ulioko Outback Queensland

    Nyoka ammeza mamba mzimamzima
    Mamba alibanwa na kufa papo hapo

    Nyoka ammeza mamba mzimamzima
    Chatu akimmeza mamba baada ya kumuuwa

    Nyoka ammeza mamba mzimamzima

    Angalia picha za ajabu: Nyoka apigana na mamba na kummeza

    Posted at  3/03/2014  |  in  Makala  |  Read More»

    Nyoka ammeza mamba mzimamzima
    Chatu akipigana na mamba mwenye urefu wa futi sita kaskazini mwa mlima Isa ulioko Outback Queensland

    Nyoka ammeza mamba mzimamzima
    Mamba alibanwa na kufa papo hapo

    Nyoka ammeza mamba mzimamzima
    Chatu akimmeza mamba baada ya kumuuwa

    Nyoka ammeza mamba mzimamzima

    0 comments:

    Malori ya kijeshi ya Urusi katika mji wa Crimea

    Waziri Mkuu wa Ukraine Arseniy Yatsenyuk anasema taifa lake liko katika hali ya hatari na ameishtumu Urusi kutangaza vita dhidi ya nchi yake. Wanajeshi wa Urusi kwa sasa wanapiga kambi katika mji wa Crimea ambao upo mpakani mwa mataifa hayo mawili na maakazi ya wananchi wa Mataifa yote mawili.

    Yatsenyuk anamtaka rais Putin kuamuru wanajeshi wake kurejea katika kambi zao na kuheshimu maafikiano ya Kimataifa kuhusu eneo hilo la Crimea.
    Moscow inasema kuwa jeshi lake linawalinda raia wake katika mji huo ambao tayari majengo kadhaa ya serikali yamesimikwa na Bendera ya Urusi.
    Viongozi wa Mataifa ya Magharibi wakiongozwa na rais wa Marekani Barrack Obama wameishtumu Urusi kuvamia Ukraine kijeshi na kutishia kusita uhusiano wao na Moscow ikiwa haitawaiondoa wanajeshi wake.
    Hayo yanajiri wakati Urusi ikiendelea kutishia kuingilia kijeshi nchini Ukraine ambapo inaweza kuzuia mzozo mkubwa wa kimataifa ambao itakuwa ni hatari sana kuwahi kutokea tangu kuvunjika kwa muungano wa mataifa ya kikoministi.
    Mataifa ya magharibi yanaendeleza shinikizo dhidi ya hatuwa ya Urusi kupeleka vikosi katika ardhi ya Ukraine ambayo itakuwa ni uvunjifu wa sheria za kimataifa. Mataifa hayo yanatishia pia kuiwekea vikwazo Urusi ambavyo miongoni ni kuitenga zaidi.
    Vladimir Poutine bado anaendelea kuzua hali ya sintofahamu kufuatia nia yake, lakini katika mawasiliano kwa njia ya sim na Kansela wa Ujerumani Angela Merkel, Poutine alikubali kuundwa kwa tume maalum itayo anzisha mazungumzo ya kisiasa nchini Ukraine.

    Hatuwa ya Urusi kuwatuma wanajeshi wake katika mji wa Crimea yazua wasiwasi nchini Ukraine

    Posted at  3/03/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    Malori ya kijeshi ya Urusi katika mji wa Crimea

    Waziri Mkuu wa Ukraine Arseniy Yatsenyuk anasema taifa lake liko katika hali ya hatari na ameishtumu Urusi kutangaza vita dhidi ya nchi yake. Wanajeshi wa Urusi kwa sasa wanapiga kambi katika mji wa Crimea ambao upo mpakani mwa mataifa hayo mawili na maakazi ya wananchi wa Mataifa yote mawili.

    Yatsenyuk anamtaka rais Putin kuamuru wanajeshi wake kurejea katika kambi zao na kuheshimu maafikiano ya Kimataifa kuhusu eneo hilo la Crimea.
    Moscow inasema kuwa jeshi lake linawalinda raia wake katika mji huo ambao tayari majengo kadhaa ya serikali yamesimikwa na Bendera ya Urusi.
    Viongozi wa Mataifa ya Magharibi wakiongozwa na rais wa Marekani Barrack Obama wameishtumu Urusi kuvamia Ukraine kijeshi na kutishia kusita uhusiano wao na Moscow ikiwa haitawaiondoa wanajeshi wake.
    Hayo yanajiri wakati Urusi ikiendelea kutishia kuingilia kijeshi nchini Ukraine ambapo inaweza kuzuia mzozo mkubwa wa kimataifa ambao itakuwa ni hatari sana kuwahi kutokea tangu kuvunjika kwa muungano wa mataifa ya kikoministi.
    Mataifa ya magharibi yanaendeleza shinikizo dhidi ya hatuwa ya Urusi kupeleka vikosi katika ardhi ya Ukraine ambayo itakuwa ni uvunjifu wa sheria za kimataifa. Mataifa hayo yanatishia pia kuiwekea vikwazo Urusi ambavyo miongoni ni kuitenga zaidi.
    Vladimir Poutine bado anaendelea kuzua hali ya sintofahamu kufuatia nia yake, lakini katika mawasiliano kwa njia ya sim na Kansela wa Ujerumani Angela Merkel, Poutine alikubali kuundwa kwa tume maalum itayo anzisha mazungumzo ya kisiasa nchini Ukraine.

    0 comments:

    Yoweri Kaguta Museveni rais wa Uganda

    Serikali ya Uganda imesema Bajeti yake ya mwaka huu wa 2014 haitaathirika ikiwa Mataifa ya Magharibi yatasitisha misaada ya kifedha kutokana na hatua ya rais Yoweri Museveni kusaini mswada unaopiga marufuku mapenzi ya jinsia moja nchini humo. Kampala inasema haitakuwa mara ya kwanza kwa Mataifa hayo kusitisha misaada.

    Uganda: bajeti ya mwaka huu 2014 haitaathirika iwapo mataifa ya magharibi yatasitisha msaada

    Posted at  3/03/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    Yoweri Kaguta Museveni rais wa Uganda

    Serikali ya Uganda imesema Bajeti yake ya mwaka huu wa 2014 haitaathirika ikiwa Mataifa ya Magharibi yatasitisha misaada ya kifedha kutokana na hatua ya rais Yoweri Museveni kusaini mswada unaopiga marufuku mapenzi ya jinsia moja nchini humo. Kampala inasema haitakuwa mara ya kwanza kwa Mataifa hayo kusitisha misaada.

    0 comments:

    Lupita Nyong'o

    Kama ilivyokuwa imetarajiwa na wengi mwigizaji mashuhuri kutoka Kenya Lupita Nyong'o amenyakuwa tuzo la Oscar la mwigizaji msaidizi wa kike kwa jukumu lake la kuelezea masaibu ya Patseh katika filamu ya utumwa ya ''12 Years A Slave.''
    Baada ya kupokea tuzo hilo Lupita amesema " Haikwepi mawazo yangu kwamba hata dakika moja ya furaha katika maisha yangu ni shukran na maumivu makubwa kwa mtu mwingine.''
    Kisha Lupita akaongeza kusema, " Na iwe ukumbusho kwangu na kila mtoto kwamba kokote unakotoka, ndoto zako ni halisi.''
    Mwigizaji Jared Leto alinyakuwa tuzo la mwigizaji bora msaidizi wa kiume kwa jukumu lake la kuelezea maisha ya mwanamke aliye na jinsia mbili aliyekuwa na akiishi na virusi vya HIV katika filamu Dallas Buyers Club.
    Alilazimika kupunguza uzani kwa kipindi kifupi ili kuigiza.
    Sherehe ya kutolewa kwa tuzo hizo zimefanyika mjini Los Angeles nchini Marekani.

    Mkenya Lupita Nyong'o anyakua tuzo ya Oscar

    Posted at  3/03/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    Lupita Nyong'o

    Kama ilivyokuwa imetarajiwa na wengi mwigizaji mashuhuri kutoka Kenya Lupita Nyong'o amenyakuwa tuzo la Oscar la mwigizaji msaidizi wa kike kwa jukumu lake la kuelezea masaibu ya Patseh katika filamu ya utumwa ya ''12 Years A Slave.''
    Baada ya kupokea tuzo hilo Lupita amesema " Haikwepi mawazo yangu kwamba hata dakika moja ya furaha katika maisha yangu ni shukran na maumivu makubwa kwa mtu mwingine.''
    Kisha Lupita akaongeza kusema, " Na iwe ukumbusho kwangu na kila mtoto kwamba kokote unakotoka, ndoto zako ni halisi.''
    Mwigizaji Jared Leto alinyakuwa tuzo la mwigizaji bora msaidizi wa kiume kwa jukumu lake la kuelezea maisha ya mwanamke aliye na jinsia mbili aliyekuwa na akiishi na virusi vya HIV katika filamu Dallas Buyers Club.
    Alilazimika kupunguza uzani kwa kipindi kifupi ili kuigiza.
    Sherehe ya kutolewa kwa tuzo hizo zimefanyika mjini Los Angeles nchini Marekani.

    0 comments:

    Feb 28, 2014

    Santi Cazorla,Tomas Rosicky and Per Mertesacker

    Santi Cazorla is set to become the third senior Arsenal player to agree a new contract.
    The Spain midfielder has been in talks with club chiefs about signing an improved deal that will keep him at the Emirates Stadium until 2017 - his current contract ends in 2016
    Acording to Sportsmail, Arsenal and Cazorla, who turned 29 in December, are close to finalising terms that will lift his salary to around £80,000-a-week.
    Cazorla’s new deal is set to be announced as part of a package with senior team-mates Per Mertesacker and Tomas Rosicky.
    Mertesacker, 29, has approved a new deal that will tie him to the club until the summer of 2017, while Rosicky, 33, has agreed a new one-year rolling contract.
    Arsene Wenger revealed after Arsenal’s victory over Sunderland last weekend that Rosicky had agreed fresh terms and it is believed that Mertesacker and now Cazorla are close to following suit.
    However, Arsenal have not yet secured the future of one of their longest-serving players, defender Bacary Sagna, who is out of contract in the summer and has offers on the table from a string of clubs, including Paris Saint-Germain, Monaco, Inter Milan and Galatasaray.
    Cazorla has been a virtual ever-present in Wenger’s team since joining from Malaga in the summer of 2012 - making 81 appearances and scoring 18 goals. He has played principally on the flanks following the £42.5million club-record signing of Mesut Ozil last August but his technique, touch and combination play is considered by Wenger to be crucial to his side’s style of play.
    Gunners chiefs, led by contract negotiator Dicky Law, have been busy over the last year securing the futures of the club’s most influential players.
    British sextet Jack Wilshere, Theo Walcott, Aaron Ramsey, Alex Oxlade-Chamberlain, Kieran Gibbs and Carl Jenkinson all signed new deals just over 12 months ago, while goalkeeper Wojciech Szczesny penned an improved contract earlier in the season.

    Santi Cazorla,Tomas Rosicky and Per Mertesacker on the verge to sign new Arsenal contract

    Posted at  2/28/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Santi Cazorla,Tomas Rosicky and Per Mertesacker

    Santi Cazorla is set to become the third senior Arsenal player to agree a new contract.
    The Spain midfielder has been in talks with club chiefs about signing an improved deal that will keep him at the Emirates Stadium until 2017 - his current contract ends in 2016
    Acording to Sportsmail, Arsenal and Cazorla, who turned 29 in December, are close to finalising terms that will lift his salary to around £80,000-a-week.
    Cazorla’s new deal is set to be announced as part of a package with senior team-mates Per Mertesacker and Tomas Rosicky.
    Mertesacker, 29, has approved a new deal that will tie him to the club until the summer of 2017, while Rosicky, 33, has agreed a new one-year rolling contract.
    Arsene Wenger revealed after Arsenal’s victory over Sunderland last weekend that Rosicky had agreed fresh terms and it is believed that Mertesacker and now Cazorla are close to following suit.
    However, Arsenal have not yet secured the future of one of their longest-serving players, defender Bacary Sagna, who is out of contract in the summer and has offers on the table from a string of clubs, including Paris Saint-Germain, Monaco, Inter Milan and Galatasaray.
    Cazorla has been a virtual ever-present in Wenger’s team since joining from Malaga in the summer of 2012 - making 81 appearances and scoring 18 goals. He has played principally on the flanks following the £42.5million club-record signing of Mesut Ozil last August but his technique, touch and combination play is considered by Wenger to be crucial to his side’s style of play.
    Gunners chiefs, led by contract negotiator Dicky Law, have been busy over the last year securing the futures of the club’s most influential players.
    British sextet Jack Wilshere, Theo Walcott, Aaron Ramsey, Alex Oxlade-Chamberlain, Kieran Gibbs and Carl Jenkinson all signed new deals just over 12 months ago, while goalkeeper Wojciech Szczesny penned an improved contract earlier in the season.

    0 comments:

    Feb 25, 2014

    Mourihno

    Kocha wa timu ya Chelsea ya England, Jose Mourinho ameshutumu tabia ya kurekodi kwa siri mazungumzo yake kuhusu wachezaji wa timu hiyo.
    Mourinho amesema lilikuwa jambo la aibu kuona kwamba mazungumzo binafsi kuhusu wachezaji wa timu yake, yanawekwa hadharani na kampuni moja ya televisheni nchini Ufaransa.
    Mourinho amesema alikuwa anatania alipokuwa akilalamika kuwa Chelsea inakosa wachezaji wa nafasi ya ushambuliaji na alimtania Eto'o kuhusu umri wake.
    "Yalikuwa mazungumzo ya utani na mtu ambaye hahusiki na masuala ya ulimwengu wa soka," amesema Mourinho.
    "Ni fedheha kwa mtu kurekodi mazungumzo binafsi."

    Mourinho:Ni fedheha kwa mtu kurekodi mazungumzo binafs

    Posted at  2/25/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Mourihno

    Kocha wa timu ya Chelsea ya England, Jose Mourinho ameshutumu tabia ya kurekodi kwa siri mazungumzo yake kuhusu wachezaji wa timu hiyo.
    Mourinho amesema lilikuwa jambo la aibu kuona kwamba mazungumzo binafsi kuhusu wachezaji wa timu yake, yanawekwa hadharani na kampuni moja ya televisheni nchini Ufaransa.
    Mourinho amesema alikuwa anatania alipokuwa akilalamika kuwa Chelsea inakosa wachezaji wa nafasi ya ushambuliaji na alimtania Eto'o kuhusu umri wake.
    "Yalikuwa mazungumzo ya utani na mtu ambaye hahusiki na masuala ya ulimwengu wa soka," amesema Mourinho.
    "Ni fedheha kwa mtu kurekodi mazungumzo binafsi."

    0 comments:

    Boko Haram

    Wanamgambo wa Kiislam wa kundi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria wametuhumiwa kushambulia shule moja na kuwaua wanafunzi kadhaa.
    Polisi nchini Nigeria wameliambia Shirika la Habari la Uingereza, Reuters kwamba wote waliouawa ni wavulana na kwamba baadhi ya miili ya wanafunzi hao imeungua na kubaki majivu.
    Taarifa ya jeshi la Nigeria imesema shambulio hilo limefanyika katika jimbo la Yobe.
    Wakaazi wa mji wa Buni Yadi katika jimbo hilo, wamesema washambuliaji hao walivamia usiku na kuwachinja baadhi ya wanafunzi.
    Wamesema baadhi waliuawa kwa kupigwa risasi.
    Walimu katika chuo cha serikali ya shirikisho katika mji wa Buni Yadi wameliambia shirika la habari la AP kwamba wanafunzi wapatao 40 waliuawa katika shambulio hilo ambalo lilianza mapema Jumanne asubuhi.
    Jeshi limethibitisha kwamba shambulio hilo limetokea katika hosteli za wanafunzi lakini limesema haliwezi kutoa taarifa zaidi kwa sasa.
    Kundi la Boko Haram limekuwa likishutumiwa kuendesha vitendo vya mauaji kaskazini mwa Nigeria, yakiwemo mauaji ya mapema mwezi huu katika jimbo la Yobe.
    Boko Haram, lina maana ya"Elimu ya Magharibi ni dhambi" katika lugha ya Kihausa, mara kwa mara limekuwa likishambulia shule katika siku za nyuma.
    Watu kadhaa wameuawa katika mashambulio mawili yaliyotokea wiki iliyopita. Katika tukio moja, wanamgambo hao wa Boko Haram, waliteketeza kijiji kizima na kuwapiga risasi wakaazi wa eneo hilo waliokuwa wakijaribu kutoroka.

    Boko Haram Wauwa Wanafunzi Nigeria

    Posted at  2/25/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    Boko Haram

    Wanamgambo wa Kiislam wa kundi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria wametuhumiwa kushambulia shule moja na kuwaua wanafunzi kadhaa.
    Polisi nchini Nigeria wameliambia Shirika la Habari la Uingereza, Reuters kwamba wote waliouawa ni wavulana na kwamba baadhi ya miili ya wanafunzi hao imeungua na kubaki majivu.
    Taarifa ya jeshi la Nigeria imesema shambulio hilo limefanyika katika jimbo la Yobe.
    Wakaazi wa mji wa Buni Yadi katika jimbo hilo, wamesema washambuliaji hao walivamia usiku na kuwachinja baadhi ya wanafunzi.
    Wamesema baadhi waliuawa kwa kupigwa risasi.
    Walimu katika chuo cha serikali ya shirikisho katika mji wa Buni Yadi wameliambia shirika la habari la AP kwamba wanafunzi wapatao 40 waliuawa katika shambulio hilo ambalo lilianza mapema Jumanne asubuhi.
    Jeshi limethibitisha kwamba shambulio hilo limetokea katika hosteli za wanafunzi lakini limesema haliwezi kutoa taarifa zaidi kwa sasa.
    Kundi la Boko Haram limekuwa likishutumiwa kuendesha vitendo vya mauaji kaskazini mwa Nigeria, yakiwemo mauaji ya mapema mwezi huu katika jimbo la Yobe.
    Boko Haram, lina maana ya"Elimu ya Magharibi ni dhambi" katika lugha ya Kihausa, mara kwa mara limekuwa likishambulia shule katika siku za nyuma.
    Watu kadhaa wameuawa katika mashambulio mawili yaliyotokea wiki iliyopita. Katika tukio moja, wanamgambo hao wa Boko Haram, waliteketeza kijiji kizima na kuwapiga risasi wakaazi wa eneo hilo waliokuwa wakijaribu kutoroka.

    0 comments:

    Feb 23, 2014

    Rais Mugabe

    Maelfu ya watu wa Zimbabwe wamehudhuria sherehe rasmi za siku ya kuzaliwa Rais Robert Mugabe.
    Bwana Mugabe ambaye ameongoza nchi tangu mwaka wa 1980, alipeperusha mabofu 90 katika uwanja wa michezo wa Marondera, mashariki ya Harare.
    Rais Mugabe, ambaye amerudi punde kutoka Singapore kwa matibabu, aliuambia umati kuwa ushindi aliopata kwenye uchaguzi wa mwaka jana ulishangaza nchi za magharibi zinazomlaumu.
    Sherehe hiyo inakisiwa kugharimu dola milioni-moja na hivyo kuzusha malalamiko katika nchi ambayo ina matatizo ya kiuchumi.

    Mugabe azidi kupeta;Maelfu wakusanyika kesherekea siku yake ya kuzaliwa

    Posted at  2/23/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    Rais Mugabe

    Maelfu ya watu wa Zimbabwe wamehudhuria sherehe rasmi za siku ya kuzaliwa Rais Robert Mugabe.
    Bwana Mugabe ambaye ameongoza nchi tangu mwaka wa 1980, alipeperusha mabofu 90 katika uwanja wa michezo wa Marondera, mashariki ya Harare.
    Rais Mugabe, ambaye amerudi punde kutoka Singapore kwa matibabu, aliuambia umati kuwa ushindi aliopata kwenye uchaguzi wa mwaka jana ulishangaza nchi za magharibi zinazomlaumu.
    Sherehe hiyo inakisiwa kugharimu dola milioni-moja na hivyo kuzusha malalamiko katika nchi ambayo ina matatizo ya kiuchumi.

    0 comments:

    Feb 22, 2014

    Mesut Ozil

    Kocha wa Arsenal ya Uingereza Arsene Wenger, amesema

     kuwa mshambulizi Mesut Ozil angali anajutia kukosa

    kufunga penalti dhidi ya mabingwa watetezi wa ligi kuu 

    barani ulaya Bayern Munich jumanne iiyopita.

    Ozil, mwenye umri wa miaka 25,alilazimika kuwaomba radhi mashabiki wa Arsenal kupitia mtandao wa kijamii wa Facebook.
    Ozil,alisajiliwa mapema msimu huu kwa kitita kikubwa zaidi na kocha Wenger.
    Arsenal, inashikilia nafasi ya pili katika ligi kuu ya premia ya Uingereza ikiwa na jumla ya alama 56 moja nyuma ya vinara Chelsea .
    Arsenal inaikaribisha Sunderland jumamosi katika uwanja wa Emirati .

    Wenger "Ozil ajutia kukosa penalti"

    Posted at  2/22/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Mesut Ozil

    Kocha wa Arsenal ya Uingereza Arsene Wenger, amesema

     kuwa mshambulizi Mesut Ozil angali anajutia kukosa

    kufunga penalti dhidi ya mabingwa watetezi wa ligi kuu 

    barani ulaya Bayern Munich jumanne iiyopita.

    Ozil, mwenye umri wa miaka 25,alilazimika kuwaomba radhi mashabiki wa Arsenal kupitia mtandao wa kijamii wa Facebook.
    Ozil,alisajiliwa mapema msimu huu kwa kitita kikubwa zaidi na kocha Wenger.
    Arsenal, inashikilia nafasi ya pili katika ligi kuu ya premia ya Uingereza ikiwa na jumla ya alama 56 moja nyuma ya vinara Chelsea .
    Arsenal inaikaribisha Sunderland jumamosi katika uwanja wa Emirati .

    0 comments:

    Feb 21, 2014

    Kupata matokeo bofya hapo chini.

    f MATOKEO CSEE 2013
    fMATOKEO QT 2013

    THE NATIONAL FORM FOUR RESULTS 2013/14 (MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2013/14) HAYA HAPA!!

    Posted at  2/21/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    Kupata matokeo bofya hapo chini.

    f MATOKEO CSEE 2013
    fMATOKEO QT 2013

    0 comments:

    Feb 11, 2014



    An Algerian military transport plane has crashed in the north-east of the country, killing more than 100 people, Algerian media say.
    The plane crashed in a mountainous area in Oum al-Bouaghi province, said private TV station Ennahar.
    Its source said that contact was lost with the military plane between Constantine and Oum al-Bouaghi.
    There are reports that the plane was carrying military personnel and family members.
    There has been no official confirmation from the army as yet.
    Ennahar reports that ambulances have been dispatched to the crash zone, which is some 380km (240 miles) east of the capital Algiers.

    Military plane crashes in eastern Algeria, 'killing 100'

    Posted at  2/11/2014  |  in  Habari  |  Read More»



    An Algerian military transport plane has crashed in the north-east of the country, killing more than 100 people, Algerian media say.
    The plane crashed in a mountainous area in Oum al-Bouaghi province, said private TV station Ennahar.
    Its source said that contact was lost with the military plane between Constantine and Oum al-Bouaghi.
    There are reports that the plane was carrying military personnel and family members.
    There has been no official confirmation from the army as yet.
    Ennahar reports that ambulances have been dispatched to the crash zone, which is some 380km (240 miles) east of the capital Algiers.

    0 comments:

    Feb 9, 2014

    Wenge
    Arsenal's title challenge may not have fell flat on its face just yet after Manchester City's slight slip-up at Norwich, but their manager did take a tumble on his way back from the 5-1 defeat at Liverpool on Saturday.Arsene Wenger, so often the cool, calm and collected Frenchman, slipped on his way into Liverpool Lime Street Station after the loss.
    Wenger

    Wenger

    Wenger
    It was just one of those days for Wenger, who saw his side go 4-0 down within 20 minutes at Anfield.
    They improved, however, and ended up drawing the second period 1-1, but with a tough run-in over the next month, plenty more slip-ups are inevitable.
    Arsenal's next three games are Manchester United, Liverpool again in the FA Cup fifth round, and Bayern Munich, all at the Emirates Stadium.
    Wenger knows there needs to be a big improvement for Wednesday's match against United.'What is important is that we respond to that result, especially respond with a different performance because our performance overall was poor,' Wenger said.
    'On the concentration level, on pace, on defensive stability, it was very poor and we always looked vulnerable.
    'If you concede two early goals from set-pieces then you are in a position where you always have to come out.
    'I just think the whole team have failed to turn up with the right performance. We know that you need to be better focused at this kind of level.'
    'Overall our performance was just not good enough and I include myself in that performance.
    'For me it is maybe better I don't talk too much, go home and respond better on Wednesday night.
    'Congratulations to Liverpool. They were the best team today and we were very poor - only our fans were good for 90 minutes.'

    Wenger slipped and fell at Liverpool Lime Street Station after the defeat

    Posted at  2/09/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Wenge
    Arsenal's title challenge may not have fell flat on its face just yet after Manchester City's slight slip-up at Norwich, but their manager did take a tumble on his way back from the 5-1 defeat at Liverpool on Saturday.Arsene Wenger, so often the cool, calm and collected Frenchman, slipped on his way into Liverpool Lime Street Station after the loss.
    Wenger

    Wenger

    Wenger
    It was just one of those days for Wenger, who saw his side go 4-0 down within 20 minutes at Anfield.
    They improved, however, and ended up drawing the second period 1-1, but with a tough run-in over the next month, plenty more slip-ups are inevitable.
    Arsenal's next three games are Manchester United, Liverpool again in the FA Cup fifth round, and Bayern Munich, all at the Emirates Stadium.
    Wenger knows there needs to be a big improvement for Wednesday's match against United.'What is important is that we respond to that result, especially respond with a different performance because our performance overall was poor,' Wenger said.
    'On the concentration level, on pace, on defensive stability, it was very poor and we always looked vulnerable.
    'If you concede two early goals from set-pieces then you are in a position where you always have to come out.
    'I just think the whole team have failed to turn up with the right performance. We know that you need to be better focused at this kind of level.'
    'Overall our performance was just not good enough and I include myself in that performance.
    'For me it is maybe better I don't talk too much, go home and respond better on Wednesday night.
    'Congratulations to Liverpool. They were the best team today and we were very poor - only our fans were good for 90 minutes.'

    0 comments:

    Feb 8, 2014

    Olympic Games in Sochi

    The official 16-day competition at the Sochi Winter Olympics begins Saturday when gold medals in five sports will be contested.

    The Games in Russia's Black Sea resort city kicked off Friday with a glitzy opening ceremony featuring Russian music, ballet stars, acrobats and cosmonauts.

    Brand new Fisht Olympic Stadium, which holds 40,000 people, hosted the ceremony. Organizers hope the event will paint a shining image of Russia.

    Athletes from the more than 80 nations competing in Sochi filled the 
    stadium. The lighting of the Olympic torch and fireworks lit the night sky to culminate the event.
    More than 40 world leaders attended the ceremony, but U.S. President Barack Obama and some European Union leaders were absent. Russia has faced criticism of its law banning the spread of so-called "gay propaganda" to minors.

    Security is tight in and around the Olympic Village, with authorities on guard for possible terrorist attacks.

    Security also was bolstered around the Kremlin in anticipation of possible Olympics-related protests.

    The United States has issued a travel alert for all citizens heading to Russia, urging them to remain attentive in regards to personal security at all times.

    It also alerts Americans to be aware of the Russian law banning gay propaganda, calling it vague.

    International Olympic Committee President Thomas Bach said it is unfair to single out the Sochi Games as facing a particular security threat. He said terror threats were made at other Olympics, including Sydney in 2000, Athens in 2004, and Salt Lake City in 2002.  

    Bach also said preparations for the Games are going "pretty smoothly," but that the first few days of the Games usually have "a small hiccup [problem] here or there."

    Russian authorities have spent an estimated $2 billion to shore up security in advance of the Sochi Olympics. Islamic militants have threatened attacks, and analysts have singled out train stations and other areas where civilians congregate as possible targets.

    Olympic Games Underway in Sochi

    Posted at  2/08/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Olympic Games in Sochi

    The official 16-day competition at the Sochi Winter Olympics begins Saturday when gold medals in five sports will be contested.

    The Games in Russia's Black Sea resort city kicked off Friday with a glitzy opening ceremony featuring Russian music, ballet stars, acrobats and cosmonauts.

    Brand new Fisht Olympic Stadium, which holds 40,000 people, hosted the ceremony. Organizers hope the event will paint a shining image of Russia.

    Athletes from the more than 80 nations competing in Sochi filled the 
    stadium. The lighting of the Olympic torch and fireworks lit the night sky to culminate the event.
    More than 40 world leaders attended the ceremony, but U.S. President Barack Obama and some European Union leaders were absent. Russia has faced criticism of its law banning the spread of so-called "gay propaganda" to minors.

    Security is tight in and around the Olympic Village, with authorities on guard for possible terrorist attacks.

    Security also was bolstered around the Kremlin in anticipation of possible Olympics-related protests.

    The United States has issued a travel alert for all citizens heading to Russia, urging them to remain attentive in regards to personal security at all times.

    It also alerts Americans to be aware of the Russian law banning gay propaganda, calling it vague.

    International Olympic Committee President Thomas Bach said it is unfair to single out the Sochi Games as facing a particular security threat. He said terror threats were made at other Olympics, including Sydney in 2000, Athens in 2004, and Salt Lake City in 2002.  

    Bach also said preparations for the Games are going "pretty smoothly," but that the first few days of the Games usually have "a small hiccup [problem] here or there."

    Russian authorities have spent an estimated $2 billion to shore up security in advance of the Sochi Olympics. Islamic militants have threatened attacks, and analysts have singled out train stations and other areas where civilians congregate as possible targets.

    0 comments:

    Rais Jakaya Kikwete

    Hatimaye Rais Jakaya Kikwete amekamilisha uteuzi wa majina ya Wajumbe 201 wa Bunge Maalumu la Katiba, litakaloanza vikao vyake Februari 18 mjini Dodoma.
    Kupitia uteuzi huo amewarejesha bungeni wanasiasa wakongwe akiwamo Kingunge Ngombale Mwiru na Paul Kimiti na kuwakumbuka pia wanasiasa wakongwe ambao hawakuwahi kuwa wabunge.
    Baadhi ya wanasiasa hao ni pamoja na Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha (NLD) Dk Emmanuel Makaidi na Mwenyekiti wa Chama cha Ustawi Tanzania (Chausta) James Mapalala.
    Pia wamo Mwenyekiti wa Chama cha Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila na John Chipaka ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Tadea.
    Bunge hilo litajumuisha wabunge wote 357 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, wajumbe 82 wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar pamoja na 201 waliotangazwa jana na kufanya idadi yao kuwa 640.
    Akitaja majina hayo jana Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Florens Turuka alisema wajumbe hao wameteuliwa kutoka katika makundi 10 ya kijamii.
    Aliyataja makundi hayo na idadi ya walioteuliwa katika mabano kuwa ni Taasisi zisizo za Kiserikali (20), Taasisi za Dini (20), Vyama vya Siasa (42), Taasisi za Elimu (20), Makundi ya Walemavu (20), Vyama vya Wafanyakazi (19), Vyama vya Wafugaji (10), Vyama vya Wavuvi (10), Vyama vya Wakulima (20) na Makundi yenye Malengo yanayofanana (20).
    “Taasisi 554 kutoka Tanzania Bara na 178 kutoka Zanzibar ziliwasilisha mapendekezo yao yaliyojumuisha majina 2,762 kwa upande wa Bara na upande wa Zanzibar yalihusisha watu 874,” alisema na kuongeza:
    “Majina yote yalikuwa 3,636, lakini kinyume na sheria watu 118 walipendekeza wenyewe na kufanya idadi ya majina yaliyopendekezwa kuwa 3,754. Taasisi hizo zilileta majina mengi na kazi ya kuyachuja mpaka kubaki 201 ilikuwa ngumu,” alisema Turuka.
    Alisema uteuzi huo umezingatia umri wa waombaji na kwamba wenye umri kuanzia miaka 22 hadi 35 wapo 35, wenye umri wa miaka 36 hadi 60 ni 145 na kuanzia miaka 65 na kuendelea wapo 21.
    “Wameteuliwa kwa kuangalia umri, jinsi, uzoefu, sifa na mahali anapotoka mjumbe husika. Wanawake wapo 100 na wanaume wapo 101, wajumbe waliotokea Zanzibar ni 67 na waliotokea Tanzania Bara ni 134,” alisema.
    Alisema katika kila kundi wajumbe kutoka Tanzania Bara wapo theluthi mbili na wale kutoka Zanzibar theluthi moja.
    Katika kundi la Taasisi zisizokuwa za Kiserikali watu maarufu walioteuliwa ni pamoja na Paul Kimiti, ambaye amewahi kuwa Waziri wa Ajira na Maendeleo ya Vijana na Waziri wa Kilimo na Biashara, kati ya mwaka 1995 na mwaka 2000.
    Mbali na Kimiti, pia yupo Kingunge, ambaye amewahi kushika nyadhifa mbalimbali ikiwamo uwaziri katika Serikali za awamu zote nne, tangu enzi za Mwalimu Julius Nyerere.
    Kwa upande wa Taasisi za Kidini yupo Profesa Costa Mahalu, Askofu wa Dayosisi ya Kati Kanisa la Mennonite, Amos Muhagachi, Sheikh Mussa Yusuf Kundecha na Sheikh Hamid Masoud Jongo.
    Vyama vya Siasa yumo Shamsa Mwangunga ambaye amewahi kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mwenyekiti wa (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba.
    Majina kamili ya Wajumbe wa Bunge hilo ni :
    Tanzania Bara (13)
    1. Magdalena Rwebangira
    2. Kingunge Ngombale Mwiru
    3. Asha D. Mtwangi
    4. Maria Sarungi Tsehai
    5. Paul Kimiti
    6. Valerie N. Msoka
    7. Fortunate Moses Kabeja
    8. Sixtus Raphael Mapunda
    9. Elizabeth Maro Minde
    10. Happiness Samson Sengi
    11. Evod Herman Mmanda
    12. Godfrey Simbeye
    13. Mary Paul Daffa
    Tanzania Zanzibar(7)
    1. Idrissa Kitwana Mustafa
    2. Siti Abbas Ali
    3. Abdalla Abass Omar
    4. Salama Aboud Talib
    5. Juma Bakari Alawi
    6. Salma Hamoud Said
    7. Adila Hilali Vuai
    Taasisi za Dini- (Wajumbe20)
    Tanzania Bara(13)
    1. Tamrina Manzi
    2. Olive Damian Luwena
    3. Shamim Khan
    4. Mchungaji Ernest Kadiva
    5. Sheikh Hamid Masoud Jongo
    6. Askofu Donald Leo Mtetemela
    7. Magdalena Songora
    8. Hamisi Ally Togwa
    9. Askofu Amos J. Muhagachi
    10. Easter Msambazi
    11. Mussa Yusuf Kundecha
    12. Respa Adam Miguma
    13. Profesa Costa Ricky Mahalu
    Tanzania Zanzibar(7)
    1. Sheikh Thabit Nouman Jongo
    2. Suzana Peter Kunambi
    3. Sheikh Nassoro Mohammed Ibrahimu
    4. Fatma Mohammed Hassan
    5. Louis Majaliwa
    6. Yasmin Yusufali E. H alloo
    7. Thuwein Issa Thuwein
    Vyama vyote vya Siasa vyenye Usajili wa  Kudumu– (Wajumbe 42)
    Tanzania Bara (28)
    1. Hashim Rungwe Spunda
    2. Thomas Magnus Mgoli
    3. Rashid Hashim Mtuta
    4. Shamsa Mwangunga
    5. Yusuf S. Manyanga
    6. Christopher Mtikila
    7. Bertha Ng’angompata
    8. Suzan Marwa
    9. Dominick Abraham Lyamchai
    10. Mbwana Salum Kibanda
    11. Peter Kuga Mziray
    12. Isaac Manjoba Cheyo
    13. Dk Emmanuel John Makaidi
    14. Profesa Ibrahim Lipumba
    15. Modesta Kizito Ponera
    16. Profesa Abdallah Safari
    17. Salumu Seleman Ally
    18. James Kabalo Mapalala
    19. Mary Oswald Mpangala
    20. Mwaka Lameck Mgimwa
    21. Nancy S. Mrikaria
    22. Nakazael Lukio Tenga
    23. Fahmi Nasoro Dovutwa
    24.Costantine Akitanda
    25. Mary Moses Daudi
    26. Magdalena Likwina
    27. John Dustan Lifa Chipaka
    28. Rashid Mohamed Ligania Rai
    Tanzania Zanzibar (14)
    1. Ally Omar Juma
    2. Vuai Ali Vuai
    3. Mwanaidi Othman Twahir
    4. Jamila Abeid Saleh
    5. Mwanamrisho Juma Ahmed
    6. Juma Hamis Faki
    7. Tatu Mabrouk Haji
    8. Fat –Hiya Zahran Salum
    9. Hussein Juma
    10. Zeudi Mvano Abdullahi
    11. Juma Ally Khatibu
    12. Haji Ambar Khamis
    13. Khadija Abdallah Ahmed
    14. Rashid Yussuf Mchenga
    Taasisi za Elimu- (Wajumbe 20)
    Tanzania Bara
    1. Dk Suzan Kolimba
    2.Profesa Esther Mwaikambo
    3. Dk Natujwa Mvungi
    4. Profesa Romuald Haule
    5. Dk Domitila A.R. Bashemera
    6. Dk Jasmine Tiisekwa
    7. Profesa Bernadeta Kilian
    8. Teddy Ladislaus Patrick
    9. Dk Francis Michael
    10. Profesa Remmy J. Assey
    11. Dk Tulia Ackson
    12.Dk Ave Maria Semakafu
    13. Hamza Mustafa Njozi
    Tanzania Zanzibar (7)
    1. Makame Omar Makame
    2. Fatma Hamid Saleh
    3. Dk Aley Soud Nassor
    4. Layla Ali Salum
    5. Dk Mwinyi Talib Haji
    6. Zeyana Mohamed Haji
    7. Ali Ahmed Uki
    Watu Wenye Ulemavu- (Wajumbe 20)
    Tanzania Bara (13)
    1. Zuhura Musa Lusonge
    2. Frederick Msigala
    3. Amon Anastaz Mpanju
    4. Bure Zahran
    5. Edith Aron Dosha
    6. Vincent Venance Mzena
    7. Shida Salum Mohamed
    8. Dk Henry Nyamubi.
    9. Elias Msiba Masamaki
    10. Faustina Jonathan Urassa
    11. Doroth Stephano Malelela
    12. John Josephat Ndumbaro
    13. Ernest Njama Kimaya
    Tanzania Zanzibar (7)
    1. Haidar Hashim Madeweyya
    2. Alli Omar Makame
    3. Adil Mohammed Ali
    4. Mwandawa Khamis Mohammed
    5. Salim Abdalla Salim
    6. Salma Haji Saadat
    7. Mwantatu Mbarak Khamis
    Vyama vya Wafanyakazi(Wajumbe19)
    Tanzania Bara(13)
    1. Honorata Chitanda
    2. Dk Angelika Semike
    3. Ezekiah Tom Oluoch
    4. Adelgunda Michael Mgaya
    5. Dotto M. Biteko
    6. Mary Gaspar Makondo
    7. Halfani Shabani Muhogo
    8. Yusufu Omari Singo
    9. Joyce Mwasha
    10. Amina Mweta
    11. Mbaraka Hussein Igangula
    12. Aina Shadrack Massawe
    13. Lucas Charles Malunde
    Tanzania Zanzibar (6)
    1. Khamis Mwinyi Mohamed
    2. Jina Hassan Silima
    3. Makame Launi Makame
    4. Asmahany Juma Ali
    5. Mwatoum Khamis Othman
    6. Rihi Haji Ali
    Vyama Vinavyowakilisha Wafugaji-(Wajumbe 10)
    Tanzania Bara(7)
    1. William Tate Olenasha
    2. Makeresia Pawa
    3. Mabagda Gesura Mwataghu
    4. Doreen Maro
    5. Magret Nyaga
    6. Hamis Mnondwa
    7. Ester Milimba Juma
    Tanzania Zanzibar (3)
    1. Said Abdalla Bakari
    2. Mashavu Yahya
    3. Zubeir Sufiani Mkanga
    Vyama Vinavyowakilisha Wavuvi –(Wajumbe 10)
    Tanzania Bara (7)
    1. Hawa A. Mchafu
    2. Rebecca Masato
    3. Thomas Juma Minyaro
    4. Timtoza Bagambise
    5. Tedy Malulu
    6. Rebecca Bugingo
    7. Omary S. Husseni
    Tanzania Zanzibar (3)
    1. Waziri Rajab
    2. Issa Ameir Suleiman
    3. Mohamed Abdallah Ahmed
    Vyama vya Wakulima-(Wajumbe 20)
    Tanzania Bara (13)
    1. Agatha Harun Senyagwa
    2. Veronica Sophu
    3. Shaban Suleman Muyombo
    4. Catherine Gabriel Sisuti
    5. Hamisi Hassani Dambaya
    6. Suzy Samson Laizer
    7. Dk Maselle Zingura Maziku
    8. Abdallah Mashausi
    9. Hadijah Milawo Kondo
    10. Rehema Madusa
    11. Reuben R. Matango
    12. Happy Suma
    13. Zainab Bakari Dihenga
    Tanzania Zanzibar (7)
    1. Saleh Moh’d Saleh
    2. Biubwa Yahya Othman
    3. Khamis Mohammed Salum
    4. Khadija Nassor Abdi
    5. Fatma Haji Khamis
    6. Asha Makungu Othman
    7. Asya Filfil Thani
    Watu Wenye Malengo Yanayofanana – (Wajumbe 20)
    Tanzania Bara (14)
    1. Dk Christina Mnzava
    2. Paulo Christian Makonda
    3. Jesca Msambatavangu
    4. Julius Mtatiro
    5. Katherin Saruni
    6. Abdallah Majura Bulembo
    7. Hemedi Abdallah Panzi
    8. Dk Zainab Amir Gama
    9. Hassan Mohamed Wakasuvi
    10. Paulynus Raymond Mtendah
    11. Almasi Athuman Maige
    12. Pamela Simon Massay
    13. Kajubi Diocres Mukajangwa
    14. Kadari Singo
    Tanzania Zanzibar (6)
    1. Yussuf Omar Chunda
    2. Fatma Mussa Juma
    3. Profesa Abdul Sheriff
    4. Amina Abdulkadir Ali
    5. Shaka Hamdu Shaka
    6. Rehema Said Shamte

    Rais Kikwete ameweka wazi majina ya wabunge ya bunge la katiba

    Posted at  2/08/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    Rais Jakaya Kikwete

    Hatimaye Rais Jakaya Kikwete amekamilisha uteuzi wa majina ya Wajumbe 201 wa Bunge Maalumu la Katiba, litakaloanza vikao vyake Februari 18 mjini Dodoma.
    Kupitia uteuzi huo amewarejesha bungeni wanasiasa wakongwe akiwamo Kingunge Ngombale Mwiru na Paul Kimiti na kuwakumbuka pia wanasiasa wakongwe ambao hawakuwahi kuwa wabunge.
    Baadhi ya wanasiasa hao ni pamoja na Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha (NLD) Dk Emmanuel Makaidi na Mwenyekiti wa Chama cha Ustawi Tanzania (Chausta) James Mapalala.
    Pia wamo Mwenyekiti wa Chama cha Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila na John Chipaka ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Tadea.
    Bunge hilo litajumuisha wabunge wote 357 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, wajumbe 82 wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar pamoja na 201 waliotangazwa jana na kufanya idadi yao kuwa 640.
    Akitaja majina hayo jana Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Florens Turuka alisema wajumbe hao wameteuliwa kutoka katika makundi 10 ya kijamii.
    Aliyataja makundi hayo na idadi ya walioteuliwa katika mabano kuwa ni Taasisi zisizo za Kiserikali (20), Taasisi za Dini (20), Vyama vya Siasa (42), Taasisi za Elimu (20), Makundi ya Walemavu (20), Vyama vya Wafanyakazi (19), Vyama vya Wafugaji (10), Vyama vya Wavuvi (10), Vyama vya Wakulima (20) na Makundi yenye Malengo yanayofanana (20).
    “Taasisi 554 kutoka Tanzania Bara na 178 kutoka Zanzibar ziliwasilisha mapendekezo yao yaliyojumuisha majina 2,762 kwa upande wa Bara na upande wa Zanzibar yalihusisha watu 874,” alisema na kuongeza:
    “Majina yote yalikuwa 3,636, lakini kinyume na sheria watu 118 walipendekeza wenyewe na kufanya idadi ya majina yaliyopendekezwa kuwa 3,754. Taasisi hizo zilileta majina mengi na kazi ya kuyachuja mpaka kubaki 201 ilikuwa ngumu,” alisema Turuka.
    Alisema uteuzi huo umezingatia umri wa waombaji na kwamba wenye umri kuanzia miaka 22 hadi 35 wapo 35, wenye umri wa miaka 36 hadi 60 ni 145 na kuanzia miaka 65 na kuendelea wapo 21.
    “Wameteuliwa kwa kuangalia umri, jinsi, uzoefu, sifa na mahali anapotoka mjumbe husika. Wanawake wapo 100 na wanaume wapo 101, wajumbe waliotokea Zanzibar ni 67 na waliotokea Tanzania Bara ni 134,” alisema.
    Alisema katika kila kundi wajumbe kutoka Tanzania Bara wapo theluthi mbili na wale kutoka Zanzibar theluthi moja.
    Katika kundi la Taasisi zisizokuwa za Kiserikali watu maarufu walioteuliwa ni pamoja na Paul Kimiti, ambaye amewahi kuwa Waziri wa Ajira na Maendeleo ya Vijana na Waziri wa Kilimo na Biashara, kati ya mwaka 1995 na mwaka 2000.
    Mbali na Kimiti, pia yupo Kingunge, ambaye amewahi kushika nyadhifa mbalimbali ikiwamo uwaziri katika Serikali za awamu zote nne, tangu enzi za Mwalimu Julius Nyerere.
    Kwa upande wa Taasisi za Kidini yupo Profesa Costa Mahalu, Askofu wa Dayosisi ya Kati Kanisa la Mennonite, Amos Muhagachi, Sheikh Mussa Yusuf Kundecha na Sheikh Hamid Masoud Jongo.
    Vyama vya Siasa yumo Shamsa Mwangunga ambaye amewahi kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mwenyekiti wa (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba.
    Majina kamili ya Wajumbe wa Bunge hilo ni :
    Tanzania Bara (13)
    1. Magdalena Rwebangira
    2. Kingunge Ngombale Mwiru
    3. Asha D. Mtwangi
    4. Maria Sarungi Tsehai
    5. Paul Kimiti
    6. Valerie N. Msoka
    7. Fortunate Moses Kabeja
    8. Sixtus Raphael Mapunda
    9. Elizabeth Maro Minde
    10. Happiness Samson Sengi
    11. Evod Herman Mmanda
    12. Godfrey Simbeye
    13. Mary Paul Daffa
    Tanzania Zanzibar(7)
    1. Idrissa Kitwana Mustafa
    2. Siti Abbas Ali
    3. Abdalla Abass Omar
    4. Salama Aboud Talib
    5. Juma Bakari Alawi
    6. Salma Hamoud Said
    7. Adila Hilali Vuai
    Taasisi za Dini- (Wajumbe20)
    Tanzania Bara(13)
    1. Tamrina Manzi
    2. Olive Damian Luwena
    3. Shamim Khan
    4. Mchungaji Ernest Kadiva
    5. Sheikh Hamid Masoud Jongo
    6. Askofu Donald Leo Mtetemela
    7. Magdalena Songora
    8. Hamisi Ally Togwa
    9. Askofu Amos J. Muhagachi
    10. Easter Msambazi
    11. Mussa Yusuf Kundecha
    12. Respa Adam Miguma
    13. Profesa Costa Ricky Mahalu
    Tanzania Zanzibar(7)
    1. Sheikh Thabit Nouman Jongo
    2. Suzana Peter Kunambi
    3. Sheikh Nassoro Mohammed Ibrahimu
    4. Fatma Mohammed Hassan
    5. Louis Majaliwa
    6. Yasmin Yusufali E. H alloo
    7. Thuwein Issa Thuwein
    Vyama vyote vya Siasa vyenye Usajili wa  Kudumu– (Wajumbe 42)
    Tanzania Bara (28)
    1. Hashim Rungwe Spunda
    2. Thomas Magnus Mgoli
    3. Rashid Hashim Mtuta
    4. Shamsa Mwangunga
    5. Yusuf S. Manyanga
    6. Christopher Mtikila
    7. Bertha Ng’angompata
    8. Suzan Marwa
    9. Dominick Abraham Lyamchai
    10. Mbwana Salum Kibanda
    11. Peter Kuga Mziray
    12. Isaac Manjoba Cheyo
    13. Dk Emmanuel John Makaidi
    14. Profesa Ibrahim Lipumba
    15. Modesta Kizito Ponera
    16. Profesa Abdallah Safari
    17. Salumu Seleman Ally
    18. James Kabalo Mapalala
    19. Mary Oswald Mpangala
    20. Mwaka Lameck Mgimwa
    21. Nancy S. Mrikaria
    22. Nakazael Lukio Tenga
    23. Fahmi Nasoro Dovutwa
    24.Costantine Akitanda
    25. Mary Moses Daudi
    26. Magdalena Likwina
    27. John Dustan Lifa Chipaka
    28. Rashid Mohamed Ligania Rai
    Tanzania Zanzibar (14)
    1. Ally Omar Juma
    2. Vuai Ali Vuai
    3. Mwanaidi Othman Twahir
    4. Jamila Abeid Saleh
    5. Mwanamrisho Juma Ahmed
    6. Juma Hamis Faki
    7. Tatu Mabrouk Haji
    8. Fat –Hiya Zahran Salum
    9. Hussein Juma
    10. Zeudi Mvano Abdullahi
    11. Juma Ally Khatibu
    12. Haji Ambar Khamis
    13. Khadija Abdallah Ahmed
    14. Rashid Yussuf Mchenga
    Taasisi za Elimu- (Wajumbe 20)
    Tanzania Bara
    1. Dk Suzan Kolimba
    2.Profesa Esther Mwaikambo
    3. Dk Natujwa Mvungi
    4. Profesa Romuald Haule
    5. Dk Domitila A.R. Bashemera
    6. Dk Jasmine Tiisekwa
    7. Profesa Bernadeta Kilian
    8. Teddy Ladislaus Patrick
    9. Dk Francis Michael
    10. Profesa Remmy J. Assey
    11. Dk Tulia Ackson
    12.Dk Ave Maria Semakafu
    13. Hamza Mustafa Njozi
    Tanzania Zanzibar (7)
    1. Makame Omar Makame
    2. Fatma Hamid Saleh
    3. Dk Aley Soud Nassor
    4. Layla Ali Salum
    5. Dk Mwinyi Talib Haji
    6. Zeyana Mohamed Haji
    7. Ali Ahmed Uki
    Watu Wenye Ulemavu- (Wajumbe 20)
    Tanzania Bara (13)
    1. Zuhura Musa Lusonge
    2. Frederick Msigala
    3. Amon Anastaz Mpanju
    4. Bure Zahran
    5. Edith Aron Dosha
    6. Vincent Venance Mzena
    7. Shida Salum Mohamed
    8. Dk Henry Nyamubi.
    9. Elias Msiba Masamaki
    10. Faustina Jonathan Urassa
    11. Doroth Stephano Malelela
    12. John Josephat Ndumbaro
    13. Ernest Njama Kimaya
    Tanzania Zanzibar (7)
    1. Haidar Hashim Madeweyya
    2. Alli Omar Makame
    3. Adil Mohammed Ali
    4. Mwandawa Khamis Mohammed
    5. Salim Abdalla Salim
    6. Salma Haji Saadat
    7. Mwantatu Mbarak Khamis
    Vyama vya Wafanyakazi(Wajumbe19)
    Tanzania Bara(13)
    1. Honorata Chitanda
    2. Dk Angelika Semike
    3. Ezekiah Tom Oluoch
    4. Adelgunda Michael Mgaya
    5. Dotto M. Biteko
    6. Mary Gaspar Makondo
    7. Halfani Shabani Muhogo
    8. Yusufu Omari Singo
    9. Joyce Mwasha
    10. Amina Mweta
    11. Mbaraka Hussein Igangula
    12. Aina Shadrack Massawe
    13. Lucas Charles Malunde
    Tanzania Zanzibar (6)
    1. Khamis Mwinyi Mohamed
    2. Jina Hassan Silima
    3. Makame Launi Makame
    4. Asmahany Juma Ali
    5. Mwatoum Khamis Othman
    6. Rihi Haji Ali
    Vyama Vinavyowakilisha Wafugaji-(Wajumbe 10)
    Tanzania Bara(7)
    1. William Tate Olenasha
    2. Makeresia Pawa
    3. Mabagda Gesura Mwataghu
    4. Doreen Maro
    5. Magret Nyaga
    6. Hamis Mnondwa
    7. Ester Milimba Juma
    Tanzania Zanzibar (3)
    1. Said Abdalla Bakari
    2. Mashavu Yahya
    3. Zubeir Sufiani Mkanga
    Vyama Vinavyowakilisha Wavuvi –(Wajumbe 10)
    Tanzania Bara (7)
    1. Hawa A. Mchafu
    2. Rebecca Masato
    3. Thomas Juma Minyaro
    4. Timtoza Bagambise
    5. Tedy Malulu
    6. Rebecca Bugingo
    7. Omary S. Husseni
    Tanzania Zanzibar (3)
    1. Waziri Rajab
    2. Issa Ameir Suleiman
    3. Mohamed Abdallah Ahmed
    Vyama vya Wakulima-(Wajumbe 20)
    Tanzania Bara (13)
    1. Agatha Harun Senyagwa
    2. Veronica Sophu
    3. Shaban Suleman Muyombo
    4. Catherine Gabriel Sisuti
    5. Hamisi Hassani Dambaya
    6. Suzy Samson Laizer
    7. Dk Maselle Zingura Maziku
    8. Abdallah Mashausi
    9. Hadijah Milawo Kondo
    10. Rehema Madusa
    11. Reuben R. Matango
    12. Happy Suma
    13. Zainab Bakari Dihenga
    Tanzania Zanzibar (7)
    1. Saleh Moh’d Saleh
    2. Biubwa Yahya Othman
    3. Khamis Mohammed Salum
    4. Khadija Nassor Abdi
    5. Fatma Haji Khamis
    6. Asha Makungu Othman
    7. Asya Filfil Thani
    Watu Wenye Malengo Yanayofanana – (Wajumbe 20)
    Tanzania Bara (14)
    1. Dk Christina Mnzava
    2. Paulo Christian Makonda
    3. Jesca Msambatavangu
    4. Julius Mtatiro
    5. Katherin Saruni
    6. Abdallah Majura Bulembo
    7. Hemedi Abdallah Panzi
    8. Dk Zainab Amir Gama
    9. Hassan Mohamed Wakasuvi
    10. Paulynus Raymond Mtendah
    11. Almasi Athuman Maige
    12. Pamela Simon Massay
    13. Kajubi Diocres Mukajangwa
    14. Kadari Singo
    Tanzania Zanzibar (6)
    1. Yussuf Omar Chunda
    2. Fatma Mussa Juma
    3. Profesa Abdul Sheriff
    4. Amina Abdulkadir Ali
    5. Shaka Hamdu Shaka
    6. Rehema Said Shamte

    1 comments:

    About-Privacy Policy-Contact us
    Copyright © 2013 mchambuzi@habari online. Blogger Template by Bloggertheme9
    Proudly Powered by Blogger.
    back to top