Mar 3, 2014

Uganda: bajeti ya mwaka huu 2014 haitaathirika iwapo mataifa ya magharibi yatasitisha msaada

Posted at  3/03/2014  |  in  Habari

Yoweri Kaguta Museveni rais wa Uganda

Serikali ya Uganda imesema Bajeti yake ya mwaka huu wa 2014 haitaathirika ikiwa Mataifa ya Magharibi yatasitisha misaada ya kifedha kutokana na hatua ya rais Yoweri Museveni kusaini mswada unaopiga marufuku mapenzi ya jinsia moja nchini humo. Kampala inasema haitakuwa mara ya kwanza kwa Mataifa hayo kusitisha misaada.

Share this post

About Naveed Iqbal

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Follow him on Google+.

0 comments:

About-Privacy Policy-Contact us
Copyright © 2013 mchambuzi@habari online. Blogger Template by Bloggertheme9
Proudly Powered by Blogger.
back to top