Dec 30, 2013

tetesi za usajili ligi kuu England: soma hapa ;

Posted at  12/30/2013  |  in  Michezo

Mchezaji wa Arsenal Searg Nabri
Kiungo wa Arsenal Searg Nabri

Boss wa Wigan  Uwe Rosler, anamuhitaji kiungo Mjerumani wa Arsenal  Gnabry. Hilo limekuja baada ya kocha wa timu ya taifa ya Ujerumani Joachim Low kudai kwamba kijana huyo mwenye umri wa mika 18 anafuatiliwa vilivyo ili ikiwezekana ajumuishwe kwenye kikosi cha kombe la dunia 2014. Hivyo anahitaji kucheza michezo mingi. Hivyo Boss wa Wigan  Uwe Rosler anadhani anaweza kuipata saini ya kinda huyo kwa mkopo dilisha dogo la usajili januari.

Mshambuliaji wa Aston Villa Christian Benteke
Mshambuliaji wa Aston Villa Christian Benteke

Kwa mujibu wa Gazeti la maka, klabu ya soka Atletico wenye makazi yao katika mji wa Madrid Hispania; wanaiwindi saini ya mfumani nyavu wa Aston Villa  Christian Benteke.
Beki wa Chelsea Ashley Cole
Beki wa kushoto wa Chelsea Ashley Cole

Beki wa Chelsea Ashley Cole, Anawindwa na magwiji wa mji wa Madrid; Real Madrid. Na hili litafikiwa endapo tu Fabio Coentrao ataondoka katika klabu hiyo.Habari kwa hisani ya(The Express).
Mshambuliaji wa Sunderland Stevene Fletcher
Mshambuliaji wa Sunderland Stevene Fletcher

Kwa mujibu wa gazeti la  The Mirror,  Meneja wa Hull City  Steve Bruce atenga poundi milion 6 kwa ajili kumwania mshambuliaji wa Sunderland Steven Fletcher.
Fletcher  aliifungia Sunderland bao la kusawazisha akitokea benchi katika mech dhidi ya Cardiff City iliyoishia sare ya bao 2 - 2.
Usajili Verona Joginho
Verona Jorginho

Liverpool wananyatia saini ya kiungo wa kati wa Verona,  Jorginho; ameifungia timu yake mabao 7 na kutengeneza nafasi 23. Habari kwa hisani ya ( talkSPORT).
Usajili Nemanja Matic
Nemanja Matic

Manchester City wako tayari kumtoa Javi Garcia pamoja na paoundi milioni 20 kwa Benfica kuinasa naisi ya Nemanja Matic. Habari kwa mujibu wa  The Mirror.
Usajili Koke
Koke

Manchester United wako tayari kutoa kitata cha pound milioni 25 kuinasa saini ya kiungo wa Atletico Madrid Koke, kwa mujibu wa The Metro.
Usajili Heitinga
John Heitinga

Kwa mujibu wa gazeti la The Mirror Norwich City wanafukuzia saini ya John Heitinga.
Mshambuliaji wa Hannover 96 Mame Biriam Diouf
Mshambuliaji wa Hannover 96 Mame Diouf

Stoke City inajaribu kuandaa fedha ili kumnasa mshambuliaji wa kati wa Hannover 96 Mame Biram Diouf, kwa mujibu wa The Sentinel.
Usajili Arsenal mathieu Valbuena
Mathieu Valbuena
Kiungo wa Marseille Mathieu Valbuena anafuatiliwa na meneja wa timu ya Arsenal Arsen Wenger, pamoja na Napoli na Atletico Madrid.Kwa mujibu wa gazeti la Hispania El Mundo Deportivo.
Hata vivyo yoso wa Brazilian  Wellington Silva aliyejiunga na Arsenal tangu mwaka 2010, na kukosa kibali cha kufanyia kazi Uingereza tayari anaweza kuingia Arsena baada ya kutimiza umri wa miaka 20.

Share this post

About Naveed Iqbal

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Follow him on Google+.

0 comments:

About-Privacy Policy-Contact us
Copyright © 2013 mchambuzi@habari online. Blogger Template by Bloggertheme9
Proudly Powered by Blogger.
back to top