Dec 31, 2013

arsenal yaandamwa na janga la majeruhi

Posted at  12/31/2013  |  in  Michezo

Kocha wa arsenal
Arsene Wenger kocha wa timu ya Arsenal

Kocha Arsene Wenger amekiri kuwepo kwa janga la majeruhi Arsenal.Na ameongeza kuwa hali hiyo itaathiri mchezo unaofuata dhidi ya Cardiff City siku ya jumatano.


Wenger ameweka wazi kwamba Olivier Giroud ataukosa mchezo wa Cardiff baada ya kuumia enka na ataungana na Mesut Ozil, Aaron Ramsey na Theo Walcott.
Viungo Jack Wilshere (enka) na Tomas Rosicky (kifundo cha mguu), pamoja na Theo Walcott (bega), watapimwa kama wataweza kucheza katika mchezo wakati huo Thomas Vermaelen na Nacho Monreal waweza kuukosa mchezo huo baada ya kuugua.

Share this post

About Naveed Iqbal

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Follow him on Google+.

0 comments:

About-Privacy Policy-Contact us
Copyright © 2013 mchambuzi@habari online. Blogger Template by Bloggertheme9
Proudly Powered by Blogger.
back to top