Jan 10, 2014

Luis Suarez Mchezaji bora wa mwezi Ligi kuu ya Uingereza

Posted at  1/10/2014  |  in  Michezo

liverpool Luis Suarez
Luis Suarez

Luis Suarez amepewa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi wa 12 ligi kuu ya Uingereza baada ya kuonyesha kiwango safi.
Mshambuliaji huyo nguli wa Liverpool alitikisa nyavu mara 10 katika mwezi wa 12 wakiwa wamecheza na Norwich, West Ham, Tottenham na Cardiff. 
Kwa upande mwingine Bosi wa Manchester City Manuel Pellegrini amezawadiwa tuzo ya kocha bora wa mwezi. Manchester City chini ya Pellegrini ilichukua pointi 16 kati ya kumi na 18 ambazo wangeweza kuchukua mwezi wa 12.
Manuel Pellegrini
Manuel Pellegrini


Share this post

About Naveed Iqbal

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Follow him on Google+.

0 comments:

About-Privacy Policy-Contact us
Copyright © 2013 mchambuzi@habari online. Blogger Template by Bloggertheme9
Proudly Powered by Blogger.
back to top