Jan 17, 2014

David Moyes: Wayne Rooney na Robin Van Persie kuikosa Chelsea

Posted at  1/17/2014  |  in  Michezo

Majeruhi manchester united
Robin Van Persie na Wayne Rooney:

Washambuliaji Wayne Rooney na Robin van Persie wote wa Manchester United, kuukosa mchezo dhidi ya Chelsea jumapili hii.
Kwa mujibu wa gazeti la Daily mirror , Bosi wa Manchester United David Moyes; amethibitisha kutokuwepo kwa nyota hao kwenye mtanange huo japo wanaendelea vizuri.
Wayne Rooney ameonekana leo akifanya mazoezi na wenzake japo bado hajawa sawa kimchezo.
Inatarajiwa huenda Robin Van Persie akarudi mazoezini wiki ijayo na kurudi uwanjani mwisho wa mwezi huu.
David Moyes alisema kwamba: "Wayne hayuko tarari kwa mchezo dhidi ya Chelsea,"
"Amekuwa akiendelea na mazoezi ya kukimbia, na leo nimemuona akikimbia, kwakweli hali yake inaridhisha".

Share this post

About Naveed Iqbal

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Follow him on Google+.

0 comments:

About-Privacy Policy-Contact us
Copyright © 2013 mchambuzi@habari online. Blogger Template by Bloggertheme9
Proudly Powered by Blogger.
back to top