Jan 19, 2014

Bacary Sagna ajiandaa kuondoka Arsenal

Posted at  1/19/2014  |  in  Michezo


Beki wa pembeni wa timu ya Arsenan Bacary Sagna, anajiandaa kuondoka Arsenal mwisho wa msimu huu.
Mkataba wa Sagna unaisha mwishoni mwa msimu huu na maongezi ya kuongeza mkataba bado yanasuasua.
Timu ya Arsenal ina utaratibu wa kumwongezea mkataba wa mwaka mmoja mchezaji mwenye umri wa miaka thelathini na kuendelea, Bacary Sagna anaomba kuongezewa miaka mitatu na Arsenal iko tayari kuongeza miaka miwili.
Kama iwapo hawatoafikiana basi sagna taondoka bila ada yoyote ya uhamisho

Share this post

About Naveed Iqbal

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Follow him on Google+.

0 comments:

About-Privacy Policy-Contact us
Copyright © 2013 mchambuzi@habari online. Blogger Template by Bloggertheme9
Proudly Powered by Blogger.
back to top