Jan 10, 2014

Robin van Persie aanza mazoezi rasmi Manchester United

Posted at  1/10/2014  |  in  Michezo

Van Persie wa Manchester United
Van persie kurudi kuongeza chachu mechi watakayocheza na Chersea

Wingu zito likiwa limetanda Manchester United, hatimae David Moyes ametoa habari njema kwa mashabiki wa mashetani wekundu; baada ya mshambuliaji wao Robin Van Persie kurudi rasmi mazozini.

Hata hivyo Van Persie hatocheza mchezo unaofata dhidi ya Swansea na badala yake atakuwa fiti kucheza mchezo dhidi ya Chelsea.

Van Persie alikuwa nje mwezi mzima  baada ya kuumia paja.

Share this post

About Naveed Iqbal

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Follow him on Google+.

0 comments:

About-Privacy Policy-Contact us
Copyright © 2013 mchambuzi@habari online. Blogger Template by Bloggertheme9
Proudly Powered by Blogger.
back to top