Jan 10, 2014

Manchester United yatenga paundi milioni 24 kumnasa Ilkay Gundogan wa Borussia Dortmund

Posted at  1/10/2014  |  in  Michezo

Usajili manchester united
Ilkay Gundogan
Manchester United wako tayari kuweka mezani paundi milioni 24 ili Ilkay Gundogan atue Jiji la Manchester.
David Moyes ni mpenzi wa kiungo huyo na anamfatilia kwa makini sana ili kumnasa Gundogan mwenye umri wa miaka 23.
Gundogan amebakiza miezi 18 katka mkataba wake na Dortmund iko tayari kumuongezea mkataba kama wataafikiana katika mazungumzo yao.
Hata hivyo Gundogan hajacheza toka mwezi wa 8 kutokana na maumivu ya mgongo,ila hilo haliwazuii United kuendelea kumfukuzia. 

Share this post

About Naveed Iqbal

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Follow him on Google+.

0 comments:

About-Privacy Policy-Contact us
Copyright © 2013 mchambuzi@habari online. Blogger Template by Bloggertheme9
Proudly Powered by Blogger.
back to top