Feb 4, 2014

Manchester United kuelekea Marekani kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao

Posted at  2/04/2014  |  in  Michezo

Picha ya wachezaji wa Manchester wakiwa mazoezini

Timu ya Manchester United imeweka wazi ratiba yake ya maandalizi ya msimu ujao 2014/2015.
Mkurugenzi mtendaji wa Manchester United Richard Arnold,ameweka wazi ratiba ya maandalizi ya msimu ujao.Ametangaza kwamba maandalizi hayo(pre-season Tour) yatafanyika katiki nchi ya Marekani yenye mashabiki zaidi ya Millioni 8.
Ikiwa huko atashiriki michezo mbalimbali japo ratiba inaweza ikaharibika iwapo atacheza ligi ya Europa.
Wana kumbukumbu nzuri ya Marekani baada ya kwenda mwaka 2011.

Share this post

About Naveed Iqbal

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Follow him on Google+.

0 comments:

About-Privacy Policy-Contact us
Copyright © 2013 mchambuzi@habari online. Blogger Template by Bloggertheme9
Proudly Powered by Blogger.
back to top