Feb 3, 2014

Chelsea yaisimamisha Manchester City

Posted at  2/03/2014  |  in  Michezo

Picha ya Branislav Ivanovic

Goli pekee la Branislav Ivanovic limetosha kuipa Chesea ushindi.
Wakiwa katika vita ya kurudi kileleni, Manchester City imejikuta ikisimamishwa na Chelsea iliyochezesha viungo 3 wakabaji.
Timu zote zilishambuliana kwa zamu na kujaribu golini lakini bahati ikaangukia upande wa Ivanovic aliyeizawadia timu yake ushindi. Baada ya matokeo hayo Chelsea inalingana na Man City wakiwa na pointi 53 huku City tofauti kubwa ya magoli.

Share this post

About Naveed Iqbal

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Follow him on Google+.

0 comments:

About-Privacy Policy-Contact us
Copyright © 2013 mchambuzi@habari online. Blogger Template by Bloggertheme9
Proudly Powered by Blogger.
back to top