Feb 4, 2014

Chris Brown anusurika kifungo kwa kusababisha vurugu mtaani

Posted at  2/04/2014  |  in  Udaku

Picha ya chris brown

Msanii Chrisbrown amenusurika kifungo baada ya kuanzisha vurugu mtaani anakokaa.
Msanii huyo nguli wa midundo ya RNB na POP, alitupa tofali katika gari la mama yale na kuvunja vioo hali inayoonekana kama hatarishi kwa majirani wa Chris Brown.
Licha ya kufanya makosa hayo,mwendesha mashtaka alisema amebadilika tangu apewe adhabu ya kuitumikia jamii toka mwaka 2012 kwa kosa la kumpiga Rihana.
Kitendo hiki kinatokea siku chache tu baada ya msanii mwingine wa muziki wa pop Justin Bieber kupiga picha akimnyonya malaya matiti.

Share this post

About Naveed Iqbal

Nulla sagittis convallis arcu. Sed sed nunc. Curabitur consequat. Quisque metus enim venenatis fermentum mollis. Duis vulputate elit in elit. Follow him on Google+.

0 comments:

About-Privacy Policy-Contact us
Copyright © 2013 mchambuzi@habari online. Blogger Template by Bloggertheme9
Proudly Powered by Blogger.
back to top