• HABARI MPYA

    Obama na Putin wajadiliana kuhusu Ukraine

  • HABARI MPYA

    Jack Wilshere nje wiki sita

  • MAKALA

    Cancer in relation to Herat Attack

  • MAKALA

    Diabetes Remedy

  • Feb 28, 2014

    Santi Cazorla,Tomas Rosicky and Per Mertesacker on the verge to sign new Arsenal contract

    Posted at  2/28/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Santi Cazorla is set to become the third senior Arsenal player to agree a new contract. The Spain midfielder has been in talks with club chiefs about signing an improved deal that will keep him at the Emirates Stadium until 2017 - his...

    0 comments:

    Feb 25, 2014

    Mourinho:Ni fedheha kwa mtu kurekodi mazungumzo binafs

    Posted at  2/25/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Kocha wa timu ya Chelsea ya England, Jose Mourinho ameshutumu tabia ya kurekodi kwa siri mazungumzo yake kuhusu wachezaji wa timu hiyo. Mourinho amesema lilikuwa jambo la aibu kuona kwamba mazungumzo binafsi kuhusu wachezaji wa timu...

    0 comments:

    Boko Haram Wauwa Wanafunzi Nigeria

    Posted at  2/25/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    Wanamgambo wa Kiislam wa kundi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria wametuhumiwa kushambulia shule moja na kuwaua wanafunzi kadhaa. Polisi nchini Nigeria wameliambia Shirika la Habari la Uingereza, Reuters kwamba wote waliouawa...

    0 comments:

    Feb 23, 2014

    Mugabe azidi kupeta;Maelfu wakusanyika kesherekea siku yake ya kuzaliwa

    Posted at  2/23/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    Maelfu ya watu wa Zimbabwe wamehudhuria sherehe rasmi za siku ya kuzaliwa Rais Robert Mugabe. Bwana Mugabe ambaye ameongoza nchi tangu mwaka wa 1980, alipeperusha mabofu 90 katika uwanja wa michezo wa Marondera, mashariki ya Harare. Rais...

    0 comments:

    Feb 22, 2014

    Wenger "Ozil ajutia kukosa penalti"

    Posted at  2/22/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Kocha wa Arsenal ya Uingereza Arsene Wenger, amesema  kuwa mshambulizi Mesut Ozil angali anajutia kukosa kufunga penalti dhidi ya mabingwa watetezi wa ligi kuu  barani ulaya Bayern Munich jumanne iiyopita. Ozil, mwenye umri...

    0 comments:

    Feb 21, 2014

    THE NATIONAL FORM FOUR RESULTS 2013/14 (MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2013/14) HAYA HAPA!!

    Posted at  2/21/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    Kupata matokeo bofya hapo chini.  MATOKEO CSEE 2013 MATOKEO QT 20...

    0 comments:

    Feb 11, 2014

    Military plane crashes in eastern Algeria, 'killing 100'

    Posted at  2/11/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    An Algerian military transport plane has crashed in the north-east of the country, killing more than 100 people, Algerian media say. The plane crashed in a mountainous area in Oum al-Bouaghi province, said private TV station Ennahar. Its...

    0 comments:

    Feb 9, 2014

    Wenger slipped and fell at Liverpool Lime Street Station after the defeat

    Posted at  2/09/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Arsenal's title challenge may not have fell flat on its face just yet after Manchester City's slight slip-up at Norwich, but their manager did take a tumble on his way back from the 5-1 defeat at Liverpool on Saturday.Arsene Wenger, so...

    0 comments:

    Feb 8, 2014

    Olympic Games Underway in Sochi

    Posted at  2/08/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    The official 16-day competition at the Sochi Winter Olympics begins Saturday when gold medals in five sports will be contested. The Games in Russia's Black Sea resort city kicked off Friday with a glitzy opening ceremony featuring Russian...

    0 comments:

    Rais Kikwete ameweka wazi majina ya wabunge ya bunge la katiba

    Posted at  2/08/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    Hatimaye Rais Jakaya Kikwete amekamilisha uteuzi wa majina ya Wajumbe 201 wa Bunge Maalumu la Katiba, litakaloanza vikao vyake Februari 18 mjini Dodoma. Kupitia uteuzi huo amewarejesha bungeni wanasiasa wakongwe akiwamo Kingunge Ngombale...

    1 comments:

    Feb 6, 2014

    Vikosi mechi ya Liverpool na Arsenal vyawekwa wazi

    Posted at  2/06/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Liverpool : Mignolet ; Flanagan , Skrtel , Toure , Cissokho ; Gerrard , Henderson , Coutinho ; Sterling , Suarez , Sturridge. Arsenal : Szczesny ; Sagna , Mertesacker , Koscielny , Gibbs ; Arteta , Rosicky ; Podolski , Ozil...

    0 comments:

    Feb 5, 2014

    Manchesyer United:Adnan Zanuzaj atimiza miaka 19 kwa tuzo

    Posted at  2/05/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Kiungo wa Manchester United jana amesherekea kufikisha miaka 19 kwa aina yake. Ilikuwa ni siku njema kwake kusherekea siku yake ya kuzaliwa pamoja na kutwaa tuzo ya mashabiki  ya mchezaji bora wa mwezi. Siku ya kuzaliwa na Adinan...

    0 comments:

    Mario Baloteli kutua Arsenal?!

    Posted at  2/05/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Kuna uwezekano mkubwa wa Mario Baloteli kutua Arsenal dirisha lijalo baada ya kampuni ya PUMA kutia mkono wake. Kampuni ya puma imesema iko tayali kutoa sehemu ya pesa ili Mario Baloteli atue kwa wamimina mitutu wa London. PUMA inaidhamini...

    0 comments:

    Feb 4, 2014

    Angalia picha za Mario Baloteli akionyesha staili yake mpya ya nywele

    Posted at  2/04/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Italia Mario Baloteli akionesha staili mpya ya nywele. ...

    0 comments:

    Manchester United kuelekea Marekani kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao

    Posted at  2/04/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Timu ya Manchester United imeweka wazi ratiba yake ya maandalizi ya msimu ujao 2014/2015. Mkurugenzi mtendaji wa Manchester United Richard Arnold,ameweka wazi ratiba ya maandalizi ya msimu ujao.Ametangaza kwamba maandalizi hayo(pre-season...

    0 comments:

    Page 1 of 2412345Next
    About-Privacy Policy-Contact us
    Copyright © 2013 mchambuzi@habari online. Blogger Template by Bloggertheme9
    Proudly Powered by Blogger.