• HABARI MPYA

    Obama na Putin wajadiliana kuhusu Ukraine

  • HABARI MPYA

    Jack Wilshere nje wiki sita

  • MAKALA

    Cancer in relation to Herat Attack

  • MAKALA

    Diabetes Remedy

  • Mar 18, 2014

    Kikosi bora cha Manchester katika enzi za sir Alex Ferguson hiki hapa

    Posted at  3/18/2014  |  in    |  Read More»

    Kwa maoni ya wadau wengi wa soka na mashabiki nguli wa Manchester, hiki ndio kikosi bora cha muda wote wa Ferguson akiwa Manchester United. Tengeneza kikosi chako bora katika enzi za Fergie, Weka maoni yako hapa chi...

    0 comments:

    Mar 9, 2014

    Wenger kucheza mchezo wake wa 1000 na Jose Mourinho English Premium League

    Posted at  3/09/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Kati ya michezo ya ligi kuu ya Uingereza isiyopendwa na kocha Arsene Wenger ni dhidi ya Chelsea ya Mourinho. Wakiwa mahasimu wakubwa, Bosi Arsene Wenger anahofu huenda Morinho akaifanya siku yake ikajawa na majonzi. Siku za hivi karibuni...

    0 comments:

    Mar 8, 2014

    Arsenal yaelekea Wembley

    Posted at  3/08/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Magoli manne yametosha kuipeleka Arsenal nusu fainali ya FA itakayochezewa katika uwanja wa Wembley. Ikiwa inacheza na Everton mchezo ulionekana kuwa mgumu kwa Arsenal katika kipindi cha kwanza, japo mambo yalibadilika kipindi cha pili...

    0 comments:

    wanadiplomasia wa Kinyarwanda watimuliwa Afrika ya Kusini

    Posted at  3/08/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    Afrika ya kusini imewaondoa wanadiplomasia watatu raia wa Rwanda ikiwahusisha na shambulizi dhdidi ya makazi ya kiongozi wa zamani wa Rwanda Kayumba Nyamwasa. Taarifa zinabainisha kuwa Rwanda nayo imeamuru kuondolewa kwa wajumbe sita...

    0 comments:

    Mar 6, 2014

    Jack Wilshere nje wiki sita

    Posted at  3/06/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Mchezaji wa kiungo cha kati wa Arsenal Jack Wilshere atakosa kucheza wiki sita baada ya kupata jeraha la mguu katika mechi aliyochezea England hapo juzi iliposhinda Denmark bao moja kwa bila. Kwa sababu hiyo atakosa mchuano wa FA wa robo...

    0 comments:

    Obama na Putin wajadiliana kuhusu Ukraine

    Posted at  3/06/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    Rais Obama amefanya mazungumzo zaidi ya kina na rais wa Urusi Vladmir Putin akisistiza kuwa vitendo vya nchi yake katika jimbo la Crimea ni ukiukaji wa mipaka na uhuru wa taifa la Ukraine. Wakati wa mazungumzo yao ya pili kupitia njia...

    0 comments:

    Mar 5, 2014

    Carles Puyol Kutimka Barcelona

    Posted at  3/05/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Nahodha wa klabu ya Barcelona Carles Puyol ametangaza atawahama mabingwa hao wa Hispania mwishoni mwa msimu huu. Puyol mwenye umri wa miaka 35 aliibukia kutoka vikosi vya vijana wa Barcelona na kujiunga na kikosi kikuu mwaka 1999. Amewachezea...

    0 comments:

    Mar 3, 2014

    Angalia picha za ajabu: Nyoka apigana na mamba na kummeza

    Posted at  3/03/2014  |  in  Makala  |  Read More»

    Chatu akipigana na mamba mwenye urefu wa futi sita kaskazini mwa mlima Isa ulioko Outback Queensland Mamba alibanwa na kufa papo hapo Chatu akimmeza mamba baada ya kumuuwa ...

    0 comments:

    Hatuwa ya Urusi kuwatuma wanajeshi wake katika mji wa Crimea yazua wasiwasi nchini Ukraine

    Posted at  3/03/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    Waziri Mkuu wa Ukraine Arseniy Yatsenyuk anasema taifa lake liko katika hali ya hatari na ameishtumu Urusi kutangaza vita dhidi ya nchi yake. Wanajeshi wa Urusi kwa sasa wanapiga kambi katika mji wa Crimea ambao upo mpakani mwa mataifa...

    0 comments:

    Uganda: bajeti ya mwaka huu 2014 haitaathirika iwapo mataifa ya magharibi yatasitisha msaada

    Posted at  3/03/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    Serikali ya Uganda imesema Bajeti yake ya mwaka huu wa 2014 haitaathirika ikiwa Mataifa ya Magharibi yatasitisha misaada ya kifedha kutokana na hatua ya rais Yoweri Museveni kusaini mswada unaopiga marufuku mapenzi ya jinsia moja nchini...

    0 comments:

    Mkenya Lupita Nyong'o anyakua tuzo ya Oscar

    Posted at  3/03/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    Kama ilivyokuwa imetarajiwa na wengi mwigizaji mashuhuri kutoka Kenya Lupita Nyong'o amenyakuwa tuzo la Oscar la mwigizaji msaidizi wa kike kwa jukumu lake la kuelezea masaibu ya Patseh katika filamu ya utumwa ya ''12 Years A Slave.'' Baada...

    0 comments:

    Feb 28, 2014

    Santi Cazorla,Tomas Rosicky and Per Mertesacker on the verge to sign new Arsenal contract

    Posted at  2/28/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Santi Cazorla is set to become the third senior Arsenal player to agree a new contract. The Spain midfielder has been in talks with club chiefs about signing an improved deal that will keep him at the Emirates Stadium until 2017 - his...

    0 comments:

    Feb 25, 2014

    Mourinho:Ni fedheha kwa mtu kurekodi mazungumzo binafs

    Posted at  2/25/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Kocha wa timu ya Chelsea ya England, Jose Mourinho ameshutumu tabia ya kurekodi kwa siri mazungumzo yake kuhusu wachezaji wa timu hiyo. Mourinho amesema lilikuwa jambo la aibu kuona kwamba mazungumzo binafsi kuhusu wachezaji wa timu...

    0 comments:

    Boko Haram Wauwa Wanafunzi Nigeria

    Posted at  2/25/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    Wanamgambo wa Kiislam wa kundi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria wametuhumiwa kushambulia shule moja na kuwaua wanafunzi kadhaa. Polisi nchini Nigeria wameliambia Shirika la Habari la Uingereza, Reuters kwamba wote waliouawa...

    0 comments:

    Feb 23, 2014

    Mugabe azidi kupeta;Maelfu wakusanyika kesherekea siku yake ya kuzaliwa

    Posted at  2/23/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    Maelfu ya watu wa Zimbabwe wamehudhuria sherehe rasmi za siku ya kuzaliwa Rais Robert Mugabe. Bwana Mugabe ambaye ameongoza nchi tangu mwaka wa 1980, alipeperusha mabofu 90 katika uwanja wa michezo wa Marondera, mashariki ya Harare. Rais...

    0 comments:

    Feb 22, 2014

    Wenger "Ozil ajutia kukosa penalti"

    Posted at  2/22/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Kocha wa Arsenal ya Uingereza Arsene Wenger, amesema  kuwa mshambulizi Mesut Ozil angali anajutia kukosa kufunga penalti dhidi ya mabingwa watetezi wa ligi kuu  barani ulaya Bayern Munich jumanne iiyopita. Ozil, mwenye umri...

    0 comments:

    Feb 21, 2014

    THE NATIONAL FORM FOUR RESULTS 2013/14 (MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2013/14) HAYA HAPA!!

    Posted at  2/21/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    Kupata matokeo bofya hapo chini.  MATOKEO CSEE 2013 MATOKEO QT 20...

    0 comments:

    Feb 11, 2014

    Military plane crashes in eastern Algeria, 'killing 100'

    Posted at  2/11/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    An Algerian military transport plane has crashed in the north-east of the country, killing more than 100 people, Algerian media say. The plane crashed in a mountainous area in Oum al-Bouaghi province, said private TV station Ennahar. Its...

    0 comments:

    Feb 9, 2014

    Wenger slipped and fell at Liverpool Lime Street Station after the defeat

    Posted at  2/09/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Arsenal's title challenge may not have fell flat on its face just yet after Manchester City's slight slip-up at Norwich, but their manager did take a tumble on his way back from the 5-1 defeat at Liverpool on Saturday.Arsene Wenger, so...

    0 comments:

    Feb 8, 2014

    Olympic Games Underway in Sochi

    Posted at  2/08/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    The official 16-day competition at the Sochi Winter Olympics begins Saturday when gold medals in five sports will be contested. The Games in Russia's Black Sea resort city kicked off Friday with a glitzy opening ceremony featuring Russian...

    0 comments:

    Rais Kikwete ameweka wazi majina ya wabunge ya bunge la katiba

    Posted at  2/08/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    Hatimaye Rais Jakaya Kikwete amekamilisha uteuzi wa majina ya Wajumbe 201 wa Bunge Maalumu la Katiba, litakaloanza vikao vyake Februari 18 mjini Dodoma. Kupitia uteuzi huo amewarejesha bungeni wanasiasa wakongwe akiwamo Kingunge Ngombale...

    1 comments:

    Page 1 of 2412345Next
    About-Privacy Policy-Contact us
    Copyright © 2013 mchambuzi@habari online. Blogger Template by Bloggertheme9
    Proudly Powered by Blogger.