• HABARI MPYA

    Obama na Putin wajadiliana kuhusu Ukraine

  • HABARI MPYA

    Jack Wilshere nje wiki sita

  • MAKALA

    Cancer in relation to Herat Attack

  • MAKALA

    Diabetes Remedy

  • Mar 18, 2014

    Kikosi bora cha Manchester katika enzi za sir Alex Ferguson hiki hapa

    Posted at  3/18/2014  |  in    |  Read More»

    Kwa maoni ya wadau wengi wa soka na mashabiki nguli wa Manchester, hiki ndio kikosi bora cha muda wote wa Ferguson akiwa Manchester United. Tengeneza kikosi chako bora katika enzi za Fergie, Weka maoni yako hapa chi...

    Mar 9, 2014

    Wenger kucheza mchezo wake wa 1000 na Jose Mourinho English Premium League

    Posted at  3/09/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Kati ya michezo ya ligi kuu ya Uingereza isiyopendwa na kocha Arsene Wenger ni dhidi ya Chelsea ya Mourinho. Wakiwa mahasimu wakubwa, Bosi Arsene Wenger anahofu huenda Morinho akaifanya siku yake ikajawa na majonzi. Siku za hivi karibuni...

    Mar 8, 2014

    Arsenal yaelekea Wembley

    Posted at  3/08/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Magoli manne yametosha kuipeleka Arsenal nusu fainali ya FA itakayochezewa katika uwanja wa Wembley. Ikiwa inacheza na Everton mchezo ulionekana kuwa mgumu kwa Arsenal katika kipindi cha kwanza, japo mambo yalibadilika kipindi cha pili...

    wanadiplomasia wa Kinyarwanda watimuliwa Afrika ya Kusini

    Posted at  3/08/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    Afrika ya kusini imewaondoa wanadiplomasia watatu raia wa Rwanda ikiwahusisha na shambulizi dhdidi ya makazi ya kiongozi wa zamani wa Rwanda Kayumba Nyamwasa. Taarifa zinabainisha kuwa Rwanda nayo imeamuru kuondolewa kwa wajumbe sita...

    Mar 6, 2014

    Jack Wilshere nje wiki sita

    Posted at  3/06/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Mchezaji wa kiungo cha kati wa Arsenal Jack Wilshere atakosa kucheza wiki sita baada ya kupata jeraha la mguu katika mechi aliyochezea England hapo juzi iliposhinda Denmark bao moja kwa bila. Kwa sababu hiyo atakosa mchuano wa FA wa robo...

    Obama na Putin wajadiliana kuhusu Ukraine

    Posted at  3/06/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    Rais Obama amefanya mazungumzo zaidi ya kina na rais wa Urusi Vladmir Putin akisistiza kuwa vitendo vya nchi yake katika jimbo la Crimea ni ukiukaji wa mipaka na uhuru wa taifa la Ukraine. Wakati wa mazungumzo yao ya pili kupitia njia...

    Mar 5, 2014

    Carles Puyol Kutimka Barcelona

    Posted at  3/05/2014  |  in  Michezo  |  Read More»

    Nahodha wa klabu ya Barcelona Carles Puyol ametangaza atawahama mabingwa hao wa Hispania mwishoni mwa msimu huu. Puyol mwenye umri wa miaka 35 aliibukia kutoka vikosi vya vijana wa Barcelona na kujiunga na kikosi kikuu mwaka 1999. Amewachezea...

    Mar 3, 2014

    Angalia picha za ajabu: Nyoka apigana na mamba na kummeza

    Posted at  3/03/2014  |  in  Makala  |  Read More»

    Chatu akipigana na mamba mwenye urefu wa futi sita kaskazini mwa mlima Isa ulioko Outback Queensland Mamba alibanwa na kufa papo hapo Chatu akimmeza mamba baada ya kumuuwa ...

    Hatuwa ya Urusi kuwatuma wanajeshi wake katika mji wa Crimea yazua wasiwasi nchini Ukraine

    Posted at  3/03/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    Waziri Mkuu wa Ukraine Arseniy Yatsenyuk anasema taifa lake liko katika hali ya hatari na ameishtumu Urusi kutangaza vita dhidi ya nchi yake. Wanajeshi wa Urusi kwa sasa wanapiga kambi katika mji wa Crimea ambao upo mpakani mwa mataifa...

    Uganda: bajeti ya mwaka huu 2014 haitaathirika iwapo mataifa ya magharibi yatasitisha msaada

    Posted at  3/03/2014  |  in  Habari  |  Read More»

    Serikali ya Uganda imesema Bajeti yake ya mwaka huu wa 2014 haitaathirika ikiwa Mataifa ya Magharibi yatasitisha misaada ya kifedha kutokana na hatua ya rais Yoweri Museveni kusaini mswada unaopiga marufuku mapenzi ya jinsia moja nchini...

    Page 1 of 2412345Next
    About-Privacy Policy-Contact us
    Copyright © 2013 mchambuzi@habari online. Blogger Template by Bloggertheme9
    Proudly Powered by Blogger.